Kajala Masanja : JB Ana Mchango Mkubwa Kwen...
Msanii wa filamu Kajala Masanja amesema haikuwa kazi rahisi kwake kufika hapo alipofikia bila ya mchango wa msanii mkubwa wa filamu nchini, Jacob Stephan aka JB. Muigizaji huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wanaowania Tuzo za EATV 2016, alishare siri ya mafanikio yake mbele ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Kampasi ya […]
Read More..