Nay wa Mitego: Nitamsaidia Chid Benz Nikish...
Mkali wa Bongo Fleva,Nay wa Mitego amefunguka kuwa yupo kwenye mipango ya kumsaidia rapper Chid Benz kutoka kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Nay amekiambia kipindi cha Dj Shows cha Radio One kuwa anajaribu kumsaidia Chid lakini akishindwa basi haitokuwa bahati yake. “Nadhani tuwaombee watu mabaya tuwaombee kwa mazuri arudi kwenye amani kama ilivyo kwa […]
Read More..