Papaa Misifa Amuwashia Moto Upya Rich Mavok...
Meneja maarufu wa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini Papaa Misifa, ameibuka na kuzidi kumuwashia moto Msanii Rich Mavoko ambaye kwa sasa anafanya kazi na lebo ya Wasafi. Misifa akiwa ndani ya FNL alisema Mavoko hana adabu na ni miongoni mwa wasanii wasiokuwa na shukrani kwa yale aliyowafanyia kwa kuwa yeye ndiye aliyewatoa na […]
Read More..