-->

Daily Archives: May 16, 2017

JPM Aitaka TBC Itangaze Bila Kubagua Vyama,...

Post Image

Dar es Salaam. Rais John Magufuli amelitaka shirika la utangazaji la TBC, kutoa taarifa sahihi kwa watanzania bila kujali vyama vyao, dini zao wala makabila yao. Pia Rais Magufuli amemuagiza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na MichezoHarrison Mwakyembe aliyekuwepo katika ziara hiyo kuuangalia mkataba kati ya TBC na Star Times na kuchukua hatua zinazostahili endapo […]

Read More..

Tunda Mapenzi ya Mitandaoni Byebye!

Post Image

MUUZA sura kwenye video za Kibongo, Tunda Sebasita ‘Tunda’ hivi karibuni amefunguka kuwa miongoni mwa mambo ambayo hawezi kuyaweka wazi kwa sasa mitandaoni ni juu ya uhusiano wake wa kimapenzi ili kuwaepusha marafiki wenye wivu kumharibia uhusiano wake jambo ambalo lilimtokea kipindi akiwa na Young D. Akichonga na Uwazi Showbiz, Mwanadada huyo alisema kuwa kipindi […]

Read More..

Shamsa Ford Amkana Nay wa Mitego

Post Image

Malkia wa filamu Shamsa Ford amekanusha kuwepo katika show ya ‘Wapo Tour’ ya rapa Nay wa Mitego itayofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala, May 20 mwaka huu. Muigizaji Shamsa Ford Rapa huyo hivi karibuni aliimbia Bongo5 kuwa muigizaji huyo ambaye kwa sasa ameolewa na mfanyabiashara Chidi Mapenzi, atakuwepo kwenye show hiyo. Akiongea na Bongo5 Jumanne […]

Read More..

Jina la Miss Tanzania libadilishwe – ...

Post Image

Msanii Afande Sele amefunguka mengine mapya kwa kudai shindano la Miss Tanzania kwa sasa linatia aibu kubwa katika taifa kwa kukosa hadhi huku likionekana ni shindano linalomnufainisha mtu mmoja nasiyo taifa kama ilivyokuwa awali. Afande Sele amesema hayo baada ya watu wengi ndani na nje ya nchi kutoridhishwa na zawadi ya gari aliyopewa Miss Tanzania […]

Read More..