Harmorapa: Wimbo Wangu Mpya ‘Nundu...
Msanii Harmorapa, amefunguka na kusema wimbo wake mpya ‘Nundu’ ambao unatoka leo na kutambulishwa kwa mara ya kwanza katika kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio utazima ngoma zote zilizotoka kutokana na ubora wake na ukali wa ngoma hiyo. Harmorapa amesema kuwa anaamini kazi yake hiyo inakuja kupoteza ngoma zingine kutokana na vile ambavyo […]
Read More..