Wema Sepetu Ampa Pole Zari
Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu ameshindwa kujizuia kwa kuonesha uchungu alioupata baada ya kusikia taarifa za msiba wa aliyekuwa mwanaume wa Zari ‘Ivan Semwanga’ na kumfariji mzazi mwenzake na marehemu Zari The Boss Lady. Wema Sepetu amesema ameumizwa na taarifa hizo huku akiwaonea huruma watoto wa marehemu ambao amewaacha wakiwa wadogo. “Broken hearted??? Rest […]
Read More..