Flora Ameamua Kurukaruka – Emmanuel Mbasha
Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania, Emmanuel Mbasha, ambaye alikuwa mume wa Flora ameweka wazi kuwa hana shida na Mume mpya wa madam Flora Daudi Kusekwa. Kupitia eNewz ya EATV, Emmanuel Mbasha amesema kuwa hana shida na mume mpya wa Flora kwani yeye hamfahamu na kama akikutana naye hawezi kumfanya lolote maana huyo mtu hakuwahi […]
Read More..