-->

Monthly Archives: September 2017

Shetta Apata Mtoto wa Mwingine

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nurdin Bilal maarufu kwa jina la Shetta, ameonyesha urijali wake kwa kubahatika kupata mtoto wa pili aliyezaliwa leo. Kwenye ukurasa wake wa instagram Shetta amepost picha akiwa amebeba kichanga huku akiandika maneno ya kumkaribisha mtoto huyo duniani. “Karibu duniani mwanangu….!! Asante Mungu kwa huyu mwingine, sasa Kayla uache kuringa”, ameandika […]

Read More..

Alikiba anena Seduce Me kushindanishwa na Z...

Post Image

Wakati ngoma ya Alikiba Seduce Me imetoka ilikuwa ikipanishwa na ile ya Diamond/WCB ‘Zilipendwa’ hasa katika mtandao ya Youtube, lakini Alikiba amefunguka na kusema hakuwahi kufuatilia hilo kabisa. Wakati ngoma ya Alikiba Seduce Me imetoka ilikuwa ikipanishwa na ile ya Diamond/WCB ‘Zilipendwa’ hasa katika mtandao ya Youtube, lakini Alikiba amefunguka na kusema hakuwahi kufuatilia hilo […]

Read More..

Nilikuwa Kama ‘Demu’ – Hemedi Phd

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Hemed Phd amesema wakati anakuwa alikuwa mzuri kama mtoto wa kike, kitendo ambacho kilimuingiza kwenye matatizo mengi ikiwemo kufukuzwa shule. Akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Hemedi amesema muonekano wake wenye kuvutia, ulisababisha awe na mahusiano na mke wa mwalimu na kupelekea kufukuzwa […]

Read More..

Mama Lulu:Nasubiri Ndoa ya Lulu

Post Image

MAMA wa mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila amefunguka kuwa anasubiri ndoa ya mwanaye kwani mkwewe mtarajiwa yupo na ameonesha dhamira ya dhati ya kumuoa bintiye. Akishusha ‘vesi’ mara baada ya kuulizwa kuhusu mustakabali wa penzi la mwanaye, mama huyo alisema hana wasiwasi kama wazazi wengine wanavyokuwa na hofu. “Sina hofu kama wazazi wengine. Nasubiri […]

Read More..

Diamond Ampa Jaribu la Tatu Zari

Post Image

NI mwaka wa majaribu kwa mrembo wa Kiganda, Zarina Hassan ‘Zari The Bosslady’. Hivi ndivyo unavyoweza kusema kutokana na majanga matatu yaliyotikisa maisha ya mlimbwende huyo kwa mwaka huu. Majanga hayo yalianza kumwandama Mei 25, mwaka huu baada ya mumewe wa zamani, Ivan Semwanga maarufu kama Ivan Don, kufariki dunia akiwa nchini Afrika Kusini. Ikiwa […]

Read More..

Ebitoke Alizwa na Ben Pol (Audio)

Post Image

Mchekeshaji maarufu bongo Ebitoke alizwa na kitendo cha anayedaiwa kuwa mpenzi wake Ben Pol kutopokea simu wala kujibu meseji zake, na kuomba msaada kwa watu kumuuliza msanii huyo kwa nini anafanya hivyo, licha ya kuwa na mipango mingi ya baadae. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Ebitoke amesema kitendo hicho kinamuweka njia panda, […]

Read More..

Kajala, Wolper Kimewaka Mbaya

Post Image

Kinachoendelea hivi sasa kati ya mastaa wawili wakubwa wa filamu, Kajala Masanja na Jacqueline Wolper tunaweza kusema kimewaka mbaya baada ya mazungumzo kwa njia ya video kati ya muigizaji huyo na aliyekuwa bwana wa mwenzake kuwekwa mtandaoni na kuibua makubwa. Kajala alikuwa akizungumza kwa njia hiyo ya kisasa na msanii Rajab Abdulhan ‘Harmonize’, akionekana akila […]

Read More..

Ommy Dimpoz Kuwashangaza Mashabiki Wake

Post Image

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anajipanga kufanya kitu kitakachowashangaza mashabiki na wadau wa muziki nchini. Akizungumza na MTANZANIA jana, Ommy Dimpoz alisema hawezi kuzungumza sana kitu alichokiandaa kukifanya hivyo mashabiki wasubiri. “Ninajipanga kuwashangaza mashabiki zangu, wajiandae kusikia kile nitakachokifanya, nimekuwa nikisafiri mara kwa mara wakati huu ambao nipo kimya, […]

Read More..

Kukwama biashara ya Wema, sababu yaanikwa

Post Image

Meneja wa msanii gumzo bongo Wema Sepetu, amefunguka kuhusu tetesi za bidhaa ya lipstick ya msanii huyo ‘Kiss by Wema’ kuzuiwa kuingia sokoni kutokana na ubora, na kusema kwamba taarifa hizo hazina ukweli. Akizungumza na mwandishi wa habari wa East Africa Television meneja huyo aliyejulikana kwa jina la Happy Shame, amesema mzigo huo haupo sokoni […]

Read More..

Irene Uwoya Afungukia Mpenzi Wake Kuwa na M...

Post Image

Msanii wa kike wa filamu za bongo ambaye pia aliwahi kuolewa na mcheza mpira kutoka Rwanda, mlimbwende Irene uwoya, amesema mpenzi wake wa sasa ana ngeu nyingi mwilini za kuchanwa visu. Akipiga stori na Big Chawa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Irene amesema watu kama hao ndio anaowataka yeye kwani inaonyesha uanaume […]

Read More..

Chuchu Hans: Sitamani Kuolewa na Ray Ng’o...

Post Image

CHUCHU Hans ni mmoja wa mastaa wa filamu ambao wanafanya vizuri kupitia tasnia hiyo na kama ukibahatika kuangalia moja ya kazi zake, utakiri niyasemayo. Pia si msanii tu wa filamu bali yupo vizuri kwenye kuigiza hata kucheza muziki mbalimbali na ndiyo maana akiwa katika mashindano ya urembo wa Miss Tanzania miaka hiyo, aliibuka mrembo mwenye […]

Read More..

Shamsa ajitosa ishu ya Hamisa na Diamond, ...

Post Image

Msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford ametia neno kile kinachoendelea kwa sasa kati ya Diamond Platnumz na Mwanamitindo Hamisa Mobetto. Mapema leo hii Diamond amekiri kuwa mtoto wa Hamissa ni mwanaye licha ya kuwa katika mahusiano na Baby Mama wake, Zari The boss Lady. Katika mtandao wa Instagram Shamsa ameandika ujumbe mfupi na kueleza kuwa […]

Read More..

Richie Amgeukia Dkt Cheni na Uigizaji

Post Image

Muigizaji wa filamu bongo, Rich Richie, Single Mtambalike amemtaka muigizaji wa zamani, Dkt. Cheni ambaye kwa sasa amejikita katika ushereheshaji wa shughuli , kurudi kwenye uigizaji kwani kilio chake cha soko la filamu wameshalitatua.   Akizungumza na eNewz ya EATV, Mtambalike amesema kuwa  anajua Dkt. Cheni alikata tamaa na kuendelea na kuigiza kwa sababu ya […]

Read More..

Diamond: Sitakaa niachane na Zari

Post Image

Dar es Salaam. Msanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul  ‘Diamond Platnumz’ amekiri kuzaa mtoto na mwanamitindo Hamisa Mobeto. Amezungumza hayo leo Jumanne akifanyiwa mahojiano ya moja kwa moja na kituo cha televisheni  na redio cha Clouds na kusema mtoto ‘Abdul’ ni wa kwake. “Mimba ni yangu na sitokaa nikaachana na Zari,” amesema Platnumz. Ambapo amesema amemgharamia […]

Read More..

Zari amruka Diamond, ataka asimchezee

Post Image

Dar es Salaam. Drama za sakata la Diamond na mwanamitindo Hamisa Mobetto limechukua sura mpya baada ya Zari kujibu mapigo katika mtandao wa Snapchat akionya asihusishwe. Awali katika maelezo yake mwanamuziki Diamond amesema ameshazungumza na mpenzi wake huyo kuhusiana na mtoto aliyezaa na Hamisa na kwamba ameelewa na hakuna tatizo tena. Wakati Diamond akiendelea na mahojiano katika […]

Read More..

Diamond Platunumz afunguka mazito kuhusu mt...

Post Image

Dar es Salaam. Mwanamuziki Diamond Platnumz amesema uhusiano wake na mwanamitindo Hamisa Mobeto umeidhalilisha familia yake hasa mama yake na mzazi mwenzake Zarina Hassan, maarufu Zari. Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena kinachorushwa na kituo cha Redio cha Clouds jijini Dar es Salaam leo Jumanne, Diamond amesema mama yake alitukanwa katika mitandao ya kijamii baada […]

Read More..

AliKiba Awashangaa Wanaompakazia Amekopi Se...

Post Image

Wakati Seduce me ikiendelea kukimbiza ambapo mpaka sasa imeweza kufikisha watazamaji milioni tano na kuahidi kuachia dude jipya endapo itafikisha watazamaji milioni kumi, Ali Kiba amewatolea povu watu wanaodai kuwa wimbo huo amekopi kutoka kwa jamaa huko ufilipino. “Kitu kizuri siku zote huwa kinapigwa mawe, wimbo huu ni wa kisasa ndio maana watu wanaongea sana […]

Read More..

Mbasha Avunja Ukimya

Post Image

Msanii wa muziki wa Injili bongo Emmanuel Mbasha, ameamua kuvunja ukimya juu ya tuhuma alizopewa za kutelekela watoto aliozaa na wanawake wotauti tofauti, na kusema habari hizo hazina ukweli wowote. Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Emmanuel Mbasha amesema tuhuma hizo ni uongo na anachukia watu wanaotengeneza habari hizo, kwani yeye haitaji habari za […]

Read More..