Brother K, Noma Sana!
KWA kumwangalia tu kimwonekano hasa akiwa katilia mavazi yake ya kisanii, shati kubwa kama la kuvaa watu wanne, huku chini akipigilia suruali pana na viatu fulani hivi, lazima utavunjika mbavu. Huyo ndiye Tajiri wa Kigoma a.k.a Brother K, msanii mahiri wa kuvunja mbavu anayetamba na kundi la vichekesho la Futuhi. Ndiye anayetajwa kama mchekeshaji wa […]
Read More..






