Baada ya Tuzo za BET, Diamond Kuja Upya na ...
Tuzo za BET zimefanyika mwishoni mwa wiki hii pande za Los Angeles, Marekani ambapo msanii Diamond Platnumz aliwakilisha Tanzania ambapo mshindi aliyekuwa akiwania tuzo moja na msanii Diamond na wengine kutoka barani Afrika alitoka nchini Afrika Kusini ambaye ni Black Coffee. Diamond amezungumza na Clouds Fm. ‘’Kila kitu kimekwenda fresh tuzo za Afrika zimetolewa ambapo […]
Read More..





