-->

Monthly Archives: June 2016

Baada ya Tuzo za BET, Diamond Kuja Upya na ...

Post Image

Tuzo za BET zimefanyika mwishoni mwa wiki hii pande za Los Angeles, Marekani ambapo msanii Diamond Platnumz aliwakilisha Tanzania ambapo mshindi aliyekuwa akiwania tuzo moja na msanii Diamond na wengine kutoka barani Afrika alitoka nchini Afrika Kusini ambaye ni Black Coffee. Diamond amezungumza na Clouds Fm. ‘’Kila kitu kimekwenda fresh tuzo za Afrika zimetolewa ambapo […]

Read More..

Esha Atoa Sababu za Ubonge

Post Image

MWIGIZAJI wa Bongo Muvi, Esha Buheti amedai kuwa ubonge alionao kwa sasa ni kwa sababu ya mapochopocho anayojipikia muda mwingi anapokuwa nyumbani na si kweli kwamba ni mjamzito kama watu wanavyomzushia. Akizungumza na mtandao huu, Esha alifunguka kuwa, kila mtu anamshangaa kunenepa kwake lakini yeye hajutii kwani ni matokeo ya vyakula vinono na kwa mwezi […]

Read More..

Mkubwa na Wanawe Watoa Msaada Hospitali ya ...

Post Image

KITUO cha kuvumbua na kuendeleza vipaji vya muziki cha Mkubwa na Wanawe, kimetoa msaada wa vifaa vya tiba na usafi, dawa za meno, sabuni, maji na juisi kwa wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam. Said Fella, alisema wameamua kufanya hivyo kutokana na kuguswa na changamoto zinazoikabili hospitali hiyo. Alisema alishauriwa na vijana […]

Read More..

Waziri Nape Nnauye Afunguka Kuhusu Wasanii ...

Post Image

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye amefunguka sababu kubwa inayopelekea wasanii wengi kujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya ni pamoja na wasanii hao kuwa na majina makubwa lakini mfukoni hawana kitu. Mhe. Nape Nnauye aliyasema haya kwenye kipindi cha Saturday Sports kinachorushwa na East Africa Radio kila siku za Jumamosi […]

Read More..

Picha:Uwoya Amtia Majaribuni Richie

Post Image

WAKATI Waislam wakiwa kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa filamu Bongo, Irene Uwoya juzikati alimtia majaribuni msanii mwenzake Single Mtambalike ‘Richie’ walipokuwa kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar kulikokuwa na harusi ya mdogo wake Steve Mengere ‘Steve Nyerere’, Happy Mengere. Kwenye ‘mnuso’ huo, Uwoya aliyekuwa amevalia kivazi kilichoacha mapaja yake wazi, […]

Read More..

Dude Alia na Hili Bongo Muvi

Post Image

Muongozaji na mwigizaji mahiri wa filamu, Kulwa Kikumba ‘Dude’ anasema kuwa ili tasnia ya filamu isonge mbele lazima wasanii na wadau wote washikane na kuwa kitu kimoja ndio maslahi ya kweli yataoneka na kusonga mbele na kuijenga tasnia ya filamu. “Tukiwa na umoja tunaweza kuwa na nguvu katika jamii, angalia mfano juzi hivi karibuni uliibuka […]

Read More..

Chozi la Mobeto Laana Kwa Lulu!

Post Image

Kufuatia staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kudaiwa kumpora mwanaume aliyezaa naye, chozi la mwanamitindo anayeuza nyago kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Hamisa Hassan Mobeto linaelezwa kuwa ni laana tosha kwa mwigizaji huyo. Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Mobeto, mrembo huyo ambaye ni sura ya mauzo kwenye matangazo ya […]

Read More..

Afande Sele Awapa Makavu Wasanii Hawa

Post Image

Msanii mkongwe wa bongo fleva, Afande Sele ameongea na Enews na kuongelea swala la wasanii wengi wa kitanzania ‘kufeki’ maisha yao halisi ikiwemo kubadili hata rangi za ngozi zao na kujiongezea weupe na wakati mwingine hata kubadilisha asili yao. Hata hivyo Afande Sele amesema ni kutokana na uelewa wao kuwa mdogo kwa kuwa kubadilisha muonekano […]

Read More..

Picha: Maisha ya Masanja Akiwa Shambani

Post Image

Msanii wa vichekesho wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji ‘street pastor’ ameweka picha kadhaa mtandaoni kuonyesha jinsi anavyowajibika akiwa shambani kwake. Zicheki Hapa NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO: Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. KAMA WEWE NI MFANYA BIASHARA UNATAKA KUWA WAKALA WA KUSAMBAZA […]

Read More..

Sabby: AliKiba Alitaka Kuniua kwa Mahaba

Post Image

MSANII anayefanya muziki na filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amefunguka kwa kinywa chake kuwa penzi la mwanamuziki mkali wa Bongo Fleva, Ali Salehe Kiba ‘Alikiba’ lilitaka kutoa uhai wake kwani hakuna mwanaume aliyemshika mtima wake zaidi yake. Akizungumza na gazeti hili juzikati, Sabby anayedai ana historia ya kutendwa na wanaume alisema kuwa amewahi ‘kudate’ […]

Read More..

Nisha Kufutrisha Watoto Waishio Katika Mazi...

Post Image

Asallam aleykhum Wanahabari, Kampuni ya Nisha’s Film Production inapenda kuujulisha Umma kuwa inatarajia kuwakutanisha Watoto Waishio katika Mazingira Hatarishi walio ndani ya jiji la Dar es Salaam, kwa ajili ya Futari tukio hili litakalofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Azani Siku ya Jumapili tarehe 26 June 2016 na kujumuika pamoja kwa kuwapa faraja […]

Read More..

Joyce Kiria ‘superwoman’ wa Wanawake Li...

Post Image

Mtangazaji wa TV, Joyce Kiria pamoja na crew ya kipindi chake, Wanawake Live, wamepata ajali wakati wakielekea mjini Sumbawanga, Rukwa. “Juzi jtano tulianza safari ya kuja Sumbawanga toka kwa lengo la kumtembelea Wankota Binti Shujaa asiekata Tamaa kirahisi wala asieogopa changamoto, na pia ilikuwa tukitoka kwa Wankota, ni safari ya kwenda Mbeya kufanya kampeni ya […]

Read More..

Meneja Sober House Aanika Mazito ya Ray C

Post Image

SIKU chache baada ya kufikishwa katika kituo maaulum cha kusaidia waathirika wa dawa za kulevya Bagamoyo Sober House, meneja wa kituo hicho, Godwin Msilo ameeleza mazito ya mrembo huyo sambamba na maendeleo yake kwa ujumla. Ray C alifikishwa kwenye kituo hicho Ijumaa iliyopita baada ya kukamatwa na polisi maeneo ya Kinondoni jijini Dar akifanya vurugu […]

Read More..

Kala Jeremiah: Baba Alifariki Siku ya Kukut...

Post Image

MSANII wa miondoko ya hip hop, Kala Jeremiah, amesema hatasahau siku alipopanga kukutana na baba yake mzazi kwa mara ya kwanza kwani ndiyo siku aliyofariki dunia. Kala alisema alitoka Mwanza hadi Dar es Salaam kumtafuta baba yake lakini kabla hajakutana naye alipokea taarifa mbaya kuhusiana na baba yake huyo jambo ambalo anadai halitatoka katika kumbukumbu […]

Read More..

TID Ampa Makavu Dully Sykes

Post Image

Akiongea kwenye Planet Bongo ya East AFrica Radio, TID amesema Dully Sykes hakupenda kitendo cha Joh Makini kuwepo kwenye collabo yao ya wimbo wa confidence. “Kwanza ile ngoma mwenyewe ndio alitaka kuwepo baada ya kuisikia, akasema mnyama hii ngoma kali naomba niweke sauti na mimi, nikamkubalia tukarekodi, lakini alivyokuja kusikia Joh Makini yupo akanipigia simu […]

Read More..

Ray Kumfuata Chuchu kwa Dini Yake!

Post Image

BAADA kuwa katika mahusiano kwa muda mrefu nyota wawili katika tasnia ya filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hansy , Chuchu anafunguka kwa kusema kuwa mpenzi wake huyo yupo mbioni kubadili dini na kumfuata yeye kwani tayari anafunga naye mwezi huu mtukufu. “Ray ananisupport kufunga mwezi huu yupo sambamba nami kufuata taratibu za kidini […]

Read More..

Aunt Ang’aka Kisa Ubonge

Post Image

TAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ameng’aka baada ya baadhi ya mashabiki kumnanga kuwa anaelekea kuzeeka kutokana na kuharibu umbo lake ambapo anaonekana kunenepa kupita kiasi na kuwaambia kuwa mchumba wake, Mose Iyobo ndiye anapaswa kumsema. Akizungumza na Amani Aunt alisema kuwa, anawashangaa watu wanaombwatukia kuwa amenenepa kupita kiasi wakati Mose anayeishi naye anaonekana kuvutiwa […]

Read More..

Chidi Benz Atoboa Chanzo cha Wasanii Kutumi...

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Chidi Benz amefunguka na kueleza jinsi wadau wa muziki nchini wanavyosababisha wasanii wa muziki kuingia kwenye matumizi ya Madawa ya kulevya. Rapper huyo ambaye ameachana na matumizi ya Madawa ya kulevya hivi karibuni, ameiambia BBC kuwa wasanii wengi wanaingia kwenye Madawa ya kulevya baada ya kupata stress za kubaniwa […]

Read More..