-->

Monthly Archives: June 2016

Faiza Ally Afunguka Kutamani Kuzaa Tena na ...

Post Image

AMEJIZOLEA umaarufu mkubwa kwenye tasnia ya mitindo na filamu hapa nchini, mwingi wa matukio na vituko vyake ambavyo vinashangaza na kuaacha watu wakiwa midomo wazi, huyu ndiyo Faiza Ally, mrembo ambaye itakubidi utenge muda wa ziada ili upate kumuelewa. Huwenda ulikuwa humfahamu lakini habari za kutoka kimapenzi na hatimaye kuzaa mtoto anayeitwa Sasha na mkongwe […]

Read More..

Shilole Alia Wasanii Wenzake Kumdhalilisha

Post Image

Msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameonesha masikitiko yake kufuatia madai ya kudhalilishwa na baadhi ya wasanii wenzake kwa kuipa promo video ya wimbo mpya wa zilipendwa wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ wa Jike Shupa. Kwa mujibu wa Shilole, video ya wimbo huo inaonesha matukio ya kumdhalilisha ambayo inaonekana yeye alikuwa akimfanyia […]

Read More..

Video: Ray C Apewa Msaada na Polisi ya Baad...

Post Image

Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C usiku wa jana alikamatwa na jeshi la polisi maeneo ya Kinondoni Manyanya almaarufu ‘Kinondoni kwa Mpemba’ jijini Dar es salaam baada ya kupiga makelele barabarani akidai anataka kutekwa. Muimbaji huyo mahiri ambaye ameathirika na Matumizi ya madawa ya kulevya, alidaiwa kufika katika eneo hilo na kuomba msaada […]

Read More..

Shilole Kunogesha ‘Hainaga Ushemeji&#...

Post Image

Msanii wa nyimbo za singeli MANFONGO amefunguka ndani ya Enews kuhusiana na wimbo wake mpya wa HAINAGA USHEMEJI ambao video qeen ni mwanadada shilolee. Manfogo ameiambia E news kwamba hakumshirikisha shilole katika video yake ili kuuwa winbo wa chura kama watu wanavyoongea bali yeye alimpigia simu mwana dada shishi na kumuomba amtafutie video queen wa […]

Read More..

Picha: Riyama Afunga Ndoa na Leo Mysterio

Post Image

Msanii wa filamu Riyama Ally Alhamisi hii amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Leo Mysterio. Muigizaji huyo mahiri wa filamu ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyezaa mume ambaye aliaacha naye, ameingia katika list ya wasanii wachache wa filamu waliofunga ndoa. Leo Mysterio ambaye ni msanii chipukizi wa muziki, aliwahi kusema kuwa mahusiano […]

Read More..

Bongo Movies Wafungua Tawi la Yanga

Post Image

MASTAA wa Bongo Movies wanaoshabikia Timu ya Yanga wamefungua tawi rasmi kwa ajili ya kuisapoti hiyo ya Jangwani. Yanga imekuwa na mashabiki wengi kila kona hapa nchini na Bongo Movies wameanzisha tawi hilo ili kuwa karibu zaidi na timu hiyo. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa tawi hilo, Mike Sangu, baada ya kuona wanajitosheleza kufungua tawi […]

Read More..

Filamu za Nje Zinatutia Njaa Jamani- Tino

Post Image

NYOTA wa filamu Hisany Muya ‘Tino’ anasema kuwa sinema kutoka nje zimeua soko la ndani na kuwafanya wasanii waishi kwa shida kwani hata watengeneze kazi zenye ubora wa namna gani bado wanashindwa kuuza kwa bei ya kimaslahi. “Serikali tunaomba itusaidie kwa hili sinema kutoka nje ni tatizo ndio zimeua soko letu, hazilipi ushuru zimezagaa kila […]

Read More..

NI NOMA : Lulu Anafikiria Kimataifa Zaidi

Post Image

ELIZABETH Michael ‘Lulu’ mwigizaji wa kike mwenye nyota kali anasema kuwa hawezi kwa sasa kuonekana kwa kila filamu bila sababu kwani amejipanga kutafuta tuzo kubwa za kimataifa hivyo lazima ashiriki sinema bora ili kufikia malengo yake.   “Kuwa bora si kucheza sinema nyingi bali kuwa na sinema za maana, nimejipanga na nakuja na filamu yangu […]

Read More..

Picha: Muonekano Mpya wa Chid Benz

Post Image

Mkali wa Hip Hop hapa Bongo,  Chidi Benz amefanikiwa kuirudisha afya yake baada ya kuachana na matumizi ya Madawa ya kulevya na hizi ni baadhi ya picha zake za hivi sasa ziklizoweka mtandaoni. NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS ENTERTAINMENT: TUNAKUFIKISHIA POPOTE PALE ULIPO: Piga namba hizi: 0673 348 364 au 0754 256 489. KAMA UNATAKA KUWA […]

Read More..

TCRA: Simu Feki Kuzimwa Leo

Post Image

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA imesisitiza kuwa zoezi la uzimwaji simu feki unatekelezwa leo kama ilivyokuwa imepangwa. Akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye makao makuu ya mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mkuu, James Kilaba alisema kwa wale watakaofanya ujanja wa kubadilisha namba tambulishi (IMEA) watachezea kifungo cha miaka 10 jela au […]

Read More..

Baraka da Prince Afunguka Kuhusu Yeye na Li...

Post Image

Msanii Baraka da Prince amekanusha vikali kumshika msanii wa kike wa bongo fleva sehemu za kifuani, na kusema aliyepiga picha hiyo aliikuza. Akiongea kwenye eNews ya East Africa TV, Baraka amesema hajwahi kufanya kitendo kama hicho kwani walikuwa sehemu yenye watu wengi, na pia hajawahi kuwaza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Linah. “Siwezi kufanya […]

Read More..

Harmonize: ‘Bado’ ni Hisia za K...

Post Image

Msanii Harmonize ameelezea jinsi ilivyokuwa kabla hajarekodi wimbo wa bado, na kusema kuwa hakuwahi kuwaza kichwani mwake kuwa wimbo huo ataimba na Diamond. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Harmonize amesema ingawa alijua kuwa kuna kazi watafanya wote lakini hakujua kuwa itakuwa ni lini na ni wimbo upi. “Before wakati naandika nilikuwa siwazi […]

Read More..

Fella, Tale Kumrudisha Upya Chid Benz

Post Image

MKURUGENZI wa kundi la Wanaume Family na Yamoto bendi, Saidi Fella maarufu Mkubwa Fella, amesema yeye na meneja wa msanii, Diamond Platnumz, Babu Tale, wameamua kumsaidia mkali wa rapu, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’, arudi katika sanaa yake na si kujiunga na kundi lolote. Fella alisema msanii huyo kwa sasa wamemwanzishia mazoezi maalumu ya kumwezesha kurudisha […]

Read More..

Shilole Acha Figisu – Nuh Mziwanda

Post Image

Baada ya video mpya ya Nuh Mziwanda ‘Jike Shupa’ kuachiwa na kuzua gumzo mitandaoni kutokana na namna msanii huyo alivyoweza kuelezea kisa na matukio yaliyokuwa yakimkuta alipokuwa akitoka kimapenzi na Shilole. Nuh Mziwanda amedai toka kutoka kwa video hiyo mpenzi wake huyo wa zamani amekuwa akimpiga vita na kuwakataza baadhi ya wasanii wasimpe support msanii […]

Read More..

Swala la Mimba Lamuweka Kitimoto Wastara

Post Image

Mashabiki katika mitandao ya kijamii wanamshinikiza staa wa filamu, Wastara Juma kuwapa ukweli kama ana mimba ya Mbunge wa Jimbo la Donge Zanzibar, Sadifa Khamis ambaye ameachana naye miezi kadhaa iliyopita. Muigizaji huyo ambaye ni mama wa watoto watutu, ameona asikae kimya kushuhu swala hilo na kuamua kuwajibu mashabiki hao akiwataka kutulia kama ana mimba […]

Read More..

Wolper Anusurika Kupigwa Risasi Kituo cha M...

Post Image

Chupuchupu! Mwanadada anayeng’ara kunako tasnia ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper, juzikati almanusra apigwe risasi kwenye kituo kimoja cha mafuta kilichopo Tegeta (jina linahifadhiwa) jijini Dar es Salaam, baada ya kuibuka kwa timbwili zito eneo hilo, Risasi Mchanganyiko linakupa mkasa mzima. Tukio hilo la aina yake, lilijiri mishale ya saa tano usiku wa Juni 12, […]

Read More..

Rubby na Dogo Aslay Wafunguka Kuhusu Mahusi...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo Ruby ambaye ameshirikishwa kwenye wimbo mpya wa kundi la Yamoto Band amefunguka na kusema yeye na Aslay si wapenzi kama ambavyo watu wanasema bali anadai hiyo ilikuwa ni njia kutangaza kazi yao mpya ambayo Rubby ameshiriki. Kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rubby alidai ilibidi watafute kiki […]

Read More..

Abdul Kiba Atolea Ufafanuzi Kuhusu Kujiunga...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Abdul Kiba  ametolea ufafanuzi kuhusu taarifa iliyosambaa mitandaoni kujiunga na WCB WASAFI ambayo inamilikiwa na Diamond Platnumz. Akiaongea na cloudsfm.com Abdul Kiba ambae ni mdogowake na msanii Abdul Kiba alieleza. ‘’Ni kweli nilizungumza hiyo lakini wengi wao waliitafsiri vibaya kauli yangu kwasababu ukizungumzia mtonyo nilimaanisha kwamba nina uwezo wa kufanya nao […]

Read More..