-->

Monthly Archives: August 2016

‘Bifu’ la Diamond, Kiba Linalipa

Post Image

MOJA ya mbinu inayotumiwa na nyota mbalimbali wa muziki duniani ni ile ya kutengeneza bifu bandia na kuwahusisha mashabiki wao. Mbinu hiyo inasaidia kuuza idadi kubwa ya nakala za kazi za sanaa za wasanii hao wenye bifu. Asikwambie mtu! Hapo ndipo wasanii wengi wanapiga hela. Wakati mashabiki wanatupiana vijembe vilivyojaa kejeli za hapa na pale […]

Read More..

Ukimya wa Tip Top Connection Unaniumiza ...

Post Image

Msanii Kassim Mganga ambaye awali alikuwa ni moja kati ya wasanii kutoka katika kundi la Tip Top Connection amesema ukimya wa kundi hilo unamuumiza na kumgusa sababu yeye bado ni mwanafamilia wa Tip Top Connection licha ya kutofautiana kibiashara. Kassim Mganga akiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo alisema yeye bado ni mwanafamilia wa Tip Top […]

Read More..

Huyu Ndiye Man Fongo, Wasanii wa Bongo Flev...

Post Image

KWA kasi iliyopo kwenye muziki wa Singeli, ni wazi kwamba  unaelekea kuupoteza muziki wa Bongo Fleva kutokana na kasi ya kuenea kwake hapa nchini, jambo linalosisitizwa na mkali anayetesa katika muziki huo, Amani Khamisi ‘Man Fongo’. Man Fongo ambaye amepachikwa jina la Mfalme wa Singeli, anayesumbua na kibao chake cha Hainaga Ushemeji amesema wasanii wa […]

Read More..

Nay wa Mitego: Siwezi kurudiana na Siwema, ...

Post Image

Rapa wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nay wa Mitego amesema hana ndoto za kurudiana na mwanamke yeyote kati ya aliwaowahi kuwa nao katika uhusiano wa mapenzi. Nay alisema iwapo itatokea nafasi kwa yeye kurudiana na mmoja kati yao, atampa nafasi mwanamke aliyezaa naye mtoto wake wa kwanza. Alisema kwa sasa hana mapenzi na yeyote […]

Read More..

Isha Mashauzi Aibukia Kwenye Bongo Flava

Post Image

Msanii wa muziki miondoko ya taarabu nchini Isha Mashauzi ameamua kuanza kuimba muziki wa dansi pamoja na Bongo Flabva ili kukonga nyoyo za mashabiki wake kutoka kila upande. Akizungumza na eNews ya EATV Mashauzi amesema ameshafanya video ya wimbo unaokwenda kwa jina la ‘Jiamini” na umepokelewa vizuri sana na mashabiki kutokana na idadi ya watu […]

Read More..

Kambi ya Mr Blue si Shwari, Mke Wake Atupa ...

Post Image

Baada ya kuibuka kwa madai ya kuwa Mr Blue na Ex wake wa zamani Naj huwenda wakawa wanawasiliana, kumekuwa na vijembe vya maneno kutoka kwenye kambi ya Mr Blue ambavo vinahisiwa huwenda vikawa vinaelekezwa katika kambi ya Barakah Da Prince na Naj. Ilo limeibuka baada ya kipindi cha U-Heard cha Clouds FM kudai Barakah Da […]

Read More..

Diamond Platnumz Afunguka Kuwauzia Mitumba ...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz anasema kabla hajatoka kimuziki alikuwa anafanya biashara ya kuuza mitumba na biashara hiyo ndiyo iliweza kumkutanisha na ‘Producer’ Bob Junior ambaye aliyetengeneza kazi zake za kwanza ambazo zilimtambulisha kwa watanzania. Diamond Platnumz alisema hayo kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kudai kuwa yeye alikuwa anapenda sana kumuonyesha onyesha […]

Read More..

Wema Akanusha Kurudiana na Diamond, Amwaga ...

Post Image

Mambo mengi yametokea wiki hii kuanzia Wema Sepetu kuachana na mpenzi wake Idris Sultan hadi Miss Tanzania huyo wa mwaka 2016 kuhudhuria birthday party ya binamu wa Diamond, Romeo na kukutana na vijana wa WCB. Kutokana na Wema kujumuika na vijana wa himaya ya WCB, kumezuka tetesi kuwa huenda ukaribu kati ya muigizaji huyo na […]

Read More..

Vipengele Vya Tuzo za EATV Hivi Hapa

Post Image

EATV Awards leo imetangaza vipengele vitakavyokuwepo kwenye tuzo zake, zinazotarajiwa kufanyika tarere 10 Dec 2016. Tuzo hizo zitahusisha kazi za muziki na filamu zilizotoka mwaka mmoja uliopita, kuanzia tarehe 1 Julai 2015 mpaka tarehe 30 Juni 2016, na zinazotambulika na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) EATV Awards imeanza na vipengele 10 ambavyo ni:- 1. Mwanamuziki bora wa […]

Read More..

Masanja Awaangukia Polisi, Wamaliza Msala w...

Post Image

Katika harusi ya Masanja Mkandamizaji iliyofanyika Agosti 14, wachekeshaji wenzake wa kundi la Orijino Komedi, walikuja wamevalia nguo zilizofanana na sare za jeshi la Polisi hali iliyowapelekea kukamatwa. Walifikishwa kituo cha Polisi kwa mahojiano na pia wakakaguliwa sehemu wanazoishi ili kuweza kufahamika kama kuna kitu kingine wanachomiliki tofauti na sare za Polisi. Kufuatia hatua hiyo, […]

Read More..

Fid Q: Mapenzi Yamenitesa Sana Jamani!

Post Image

AGOSTI 13, mwaka huu ilikuwa ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mwanahip Hop, Fid Q na kwa furaha aliyonayo kwa kutimiza miaka kadhaa, siku hiyo aliamua kuachia ngoma mbili kama zawadi kwa mashabiki wake. Wimbo wa kwanza unaoitwa Sumu aliutoa usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita, baadaye jioni akaachia video ya ngoma nyingine ya Roho aliyomshirikisha Christian […]

Read More..

Masanja Asakwa na Polisi Akiwa ‘HoneyMoon...

Post Image

WAKATI dhamana ya waigizaji wa kundi la Orijino Komedi ikiwa wazi, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kumsaka bwana harusi, Emmanuel Mgaya, kwa mahojiano kama walivyofanya kwa wenzake. Hayo yameelezwa na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Hezron Gyimbi, jana baada ya kuwahoji waigizaji hao waliokuwa wakishikiliwa […]

Read More..

Idris Sultan Afuta Akaunti Yake ya Instagra...

Post Image

Mshindi wa shindano la Big Brother 2014, Idris Sultan ameifuta akaunti yake ya Instagram iliyokuwa na followers zaidi ya milioni 1. Hivi karibuni kuliibuka tetesi za staa huyo kumwagana na mpenzi wake Wema Sepetu huku chanzo cha ugomvi huo ikitajwa ni kuchoshwa na tabia ya mpenzi wake huyo kutompa support kwenye show zake. Mashabiki wa […]

Read More..

Msechu Adai Kutukanwa Juu ya Unene Wake, Az...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Peter Msechu amefunguka na kusema kuwa amekuwa akitukanwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu unene wake na kusema kuwa wapo baadhi ya watu walimfuata na kutaka kumpa dawa ili apunguze mwili wake. Amesema licha ya kushawishiwa kwa hilo, yeye hataki kwa kuwa ameridhika na mwili huo. Akiwa katika kipindi cha […]

Read More..

Huu Ndiyo Utofauti wa Diamond na Kiba

Post Image

KUNA vita ya maneno kati ya makundi mawili ya mashabiki wa Muziki wa Bongo Fleva, wanaowashabikia wasanii Alikiba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, kila upande ukidai mtu wao ndiye anajua zaidi kuliko mwingine. Ni mjadala mpana katika mitandao ya kijamii, mitaani na hata miongoni mwa wasanii wenyewe ambao kwa kificho au waziwazi, wamewahi kuzungumzia nani mkali […]

Read More..

Wema Sepetu na Petit Man Wapatana

Post Image

Kwa miezi kadhaa sasa Wema Sepetu na Petit Man walikuwa wakichuniana hadi kuwafanya mashabiki waanze kuuliza maswali kupitia mitandao ya kijamii kutaka kujua kunani! Lakini usiku wa August 16, wawili hao walionekana wakijirekodi video fupi na Wema akaiweka katika account yake ya SnapChat. Baadaye kulivyokucha Wema alionekana kupost video clip ile ile ya SnapChat kwenye […]

Read More..

Nimejifunza,Nimekoma kwa Wasanii Wenzangu-S...

Post Image

TENDA wema uende zako ni msemo ambao utumika sana kwa waungwana hili linamshinda mwigizaji na mchekeshaji mahiri Bongo Steven Mengele almaarufu Steve Nyerere baada ya kuonekana kuwa mstari wa mbele katika kujitoa katika matatizo ya wasanii wenzake lakini yeye anapopata matatizo anajikuta akiwa pekee yake na baadhi ya wasanii wachache wakishirikiana. “Nimejifunza mengi naweza sema […]

Read More..

Wema Sepetu Ampongeza Rais Magufuli Kwa Hil...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kumpa hongera Rais Magufuli kwa kuwakuza vijana wengi kiakili na ufahamu kutokana na namna alivyoongoza nchi na kuleta tija kwa watanzania. Pongezi hizo zinakuja Ikiwa ni takribanmiezi tisa sasa toka Rais Magufuli kutangazwa na kuapishwa kuiongoza Tanzania, msanii wa filamu nchini Wema. Wema Sepetu kupitia ukurasa wake […]

Read More..