Kufanya Collabo na Man Fongo ni Hadi 2020- ...
Msanii wa Bongo Fleva nchini TID amesema atakuwa tayari kufanya kazi na msanii maarufu wa Singeli nchini Man Fongo ifikapo mwaka 2010 na siyo kwa sasa. TID ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa, na kuweka bayana kwamba kwa sasa ana mambo mengi na kzi nyingi […]
Read More..





