Wema, Jike Shupa Kimenuka!
Ule ushosti wa staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na muuza sura kwenye video za wasanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ unadaiwa kuvunjika na sasa kila mmoja yupo na mambo yake, Risasi Jumamosi linatiririka. Chanzo makini kililieleza gazeti hili kuwa wawili hao kwa sasa hawana ushosti tena kutokana na watu […]
Read More..