Operesheni ya viroba inaendelea- Majaliwa
Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema operesheni kuhusu pombe za viroba inaendelea katika mikoa mbalimbali baada ya kupigwa marufuku Machi Mosi. Majaliwa amesema hayo katika kikao cha Baraza la Mawaziri cha kwanza tangu Serikali kuhamia mjini hapa. Amesema katika operesheni hiyo wamegundua mambo mengine ikiwamo uwapo wa kampuni zilizokuwa hazilipi kodi. Kuhusu kikao hicho cha […]
Read More..