Niliitwa na Kuhojiwa Kuhusu Dawa za Kulevya...
Mtoto wa Rais mstaafu wa Tanzania wa awamu ya nne, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema ameshahojiwa na kamisheni ya kupambana na dawa za kulevya na kukutwa hana hatia kuhusu tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya iliyokuwa ikimkabili. Mbunge huyo wa Jimbo la Chalinze ambaye pia ni mwanasheria, jina lake lilitajwa kwenye list […]
Read More..