VIDEO: Fid Q Asimulia Enzi za Zamani za Bon...
Miaka ya nyuma, Bongo Records kwa Tanzania ilikuwa label ambayo msanii akiwa chini yake alikuwa akionekana kama mfalme, kwa mujibu wa Fid Q. Hakikuwa kitu cha mzaha kumridhisha P-Funk Majani hadi akuweke kwenye roaster ya wasanii wake. Akizungumza na Lil Ommy wa Times FM kwenye kipindi cha The Playlist, Fid alielezea mashavu waliyokuwa wakiyapata wasanii […]
Read More..