Hofu ya Kupotezwa na WCB Ilivyomtesa Harmon...
Msanii kutoka lebo ya WCB Wasafi, Harmonize amefunguka na kudai alipata hofu ya kufanyiwa fitina kwenye muziki baada ya uongozi wake kumtaka kuachia wimbo wake mpya kupitia mtandao ulioanzishwa na lebo hiyo. Harmonize amefunguka katika Planet Bongo na kusema kuwa uongozi wake ulipomtaka kumtanguliza kama chambo alidhani wamedhamiria kumpoteza katika ramani ya muziki ndiyo maana […]
Read More..