Mh. Temba: Sijawahi Kubebwa na Chege
Msanii wa bongo fleva Temba amesema maneno yanayoongelewa kwamba anabebwa kimuziki na msanii mwenzake Chege hali inayompelekea ashindwe kuachia nyimbo kwa muda mrefu hayana ukweli wowote. Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Temba amesema kuna biashara alikuwa anafanya na mtu iliyokuwa inahusiana na muziki ambayo mwisho wake aliyekuwa anafanya naye biashara alimizimia simu na kumkimbia hali iliyopelekea kushindwa […]
Read More..