Davina Atoa Ombi Hili kwa Waziri Mwakyembe
NYOTA wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’ amemtaka Waziri Mpya wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kuendeleza mambo mazuri yaliyoanzishwa na mtangulizi wake, Nape Moses Nnauye ili kuwasaidia wasanii. “Tunamuombea Mungu Waziri Mwakyembe awe nasi karibu kama alivyokuwa Nape, kwani tulikuwa tukimpigia simu na kumweleza shida zetu za sanaa, muda wote anapokea […]
Read More..