Harmonize: Mapenzi Yetu na Wolper Sio ya Ki...
Harmonize amefunguka kuwa ni kweli waligombana na mpenzi wake Jacqueline Wolper na haikuwa kiki kama watu wanavyofikiria. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumatano hii, kuna baadhi ya vitu vilisababisha wagombane lakini kwa sasa kila kitu kinaenda sawa. “Kuna vitu vilitokea tukajikuta hatuko sawa, lakini Mungu ndio mwenye kheri tukawa tupo pamoja […]
Read More..