Shilole Awafungukia Wanaomuhusisha na Nuh M...
Msanii wa bongo fleva nchini Tanzania Shilole ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake mpya ”Hatutoi kiki’ amewataka watu kuacha tabia ya kuendelea kumzushia vitu ambavyo sio vya kweli baina yake na Nuh Mziwanda. Hayo yamekuja baada ya kuzagaa kwa picha zinazowaonesha wakiwa pamoja katika mapozi ya kimapenzi jambo ambalo Shishi amesema siyo la kweli […]
Read More..