-->

Monthly Archives: January 2017

Iyobo Anaogopa Kumnunulia Gari Aunt, Kisa M...

Post Image

DANSA maarufu wa Kundi la Wasafi  Classic Baby (WCB), Moses Iyobo amefunguka kuwa kamwe hawezi kumnunulia gari mzazi mwenziye, Aunt Ezekiel kwa kuwa anaogopa atapandisha michepuko yake. Iyobo alifunguka hayo juzikati alipokuwa akipiga stori mbili tatu na Global Publishers ambapo alisema kwa sasa anajipanga kumnunulia nyumba mpenzi wake huyo lakini siyo gari maana anaweza kuwapandisha […]

Read More..

Simu Yawagombanisha Vanessa na Jux

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Vanessa Mdee amefunguka na kuweka wazi kuwa mara nyingi huwa wanagombana na mpenzi wake huyo Jux kutokana na tabia yake ya kuchelewa kujibu jumbe fupi au hata kupokea simu zake. Vanessa Mdee alisema haya kwenye kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV na […]

Read More..

Gigy Apania Kuokoka

Post Image

MUUZA sura kwenye video za Bongo Fleva ambaye pia ni mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Choice FM, Gift Stanfod ‘Gigy Money’ hivi karibuni amefunguka kuwa, katika maisha yake, ipo siku ataachana na mambo yote yasiyompendaza Mungu kisha kumtumikia muumba wake. Akipiga stori mbili tatu na Global Publishers, Gigy aliweka wazi kuwa, katika maisha ya […]

Read More..

Shamsa Ford Atoa Ushauri Huu kwa Vijana

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini Shamsa Ford ametoa ushauri kwa Watanzania hususani vijana ambao hupata kidogo na kushindwa kujipanga na maisha ya kile kidogo wakipatacho na kusema siku zote unapaswa kuthamini kile ulichonacho leo ili kuwa na kesho nzuri. Shamsa Ford ametumia ukurasa wake wa Instagram kutoa ujumbe huo kwa vijana na kuwaasa kutodharau kabisaa kidogo […]

Read More..

Aunt Ezekiel Afungukia Matendo Machafu ya W...

Post Image

Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja Aunt Ezekel amedai matendo machafu ya wasanii wa filamu ni moja kati ya vitu ambavyo zimechangia kushuka kwa soko la filamu nchini. Muigizaji huyo ambaye kwa sasa yuko kwenye mahusiano ya kudumu na dansa wa WCB, Mose Iyobo amedai wasanii wengi wa filamu wameendekeza starehe kuliko kasi. […]

Read More..

Linah Amtaja Anayemnyima Usingizi

Post Image

Msanii Linah Sanga amefunguka na kuwataja wasanii ambao wanamyima usingizi na kusema hao ndiyo washindani wake kwenye muziki wa bongo fleva kwa sasa. Linah Sanga alisema hayo kupitia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ na kudai kuwa licha ya muziki wa bongo fleva kuwa na idadi kubwa ya wasanii wa kike sasa tofauti na ilivyokuwa kipindi […]

Read More..

Video: Baada ya Kuitwa Nyani, Hamorapa Atoa...

Post Image

DANSA mashuhuri kutoka lebo kubwa Bongo ya Wasafi Classic Baby (WCB) ambaye pia ni mzazi mwenza wa Anti Ezekiel, Mose Iyobo, amefunguka kupitia mtandao wa ‘Tweeter’ wa  Hamis Mandi Mtangazaji wa XXL ya Clouds FM baada ya Bdozen ‘Hamis’ kuweka picha akiwa na mtafiti wa wa Nyani (Sokwe) duniani, Jane Goodall, ambapo (Iyobo) alimtaka mtafiti […]

Read More..

Pichaz: Jinsi Wachimbaji 15 Walivyookolewa ...

Post Image

Wakiwa wameloa mwili mzima na tope la udongo mwekundu wa mgodini uliokuwa umezifunika nguo zao, wachimbaji hawa 15, hawakuamini macho yao baada ya kuliona tena jua kwa mara ya kwanza, kufuatia kuwa chini ya ardhi, kwa siku nne mfululizo. Miili yao haikuwa na nguvu, tumboni hakukuwa na kitu na njaa ya siku nne ilikuwa imewatafuna […]

Read More..

Mambo Matano (5) Ambayo Wastara Hatayasahau...

Post Image

Staa wa bongo movie ambaye maisha yake halisi yamekuwa yaki ‘make headlines’ kwa kiasi kikubwa, Wastara, ametaja mambo matano ambayo yamemuumiza zaidi maishani, na hatayasahau katika kipindi chote cha maisha yake Wastara akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, amesema jambo la kwanza kubwa ambalo hataweza kulisahau ni kuondokewa na wazazi wake wote […]

Read More..

Ushindani Wanaoukataa ‘Bongo Movie’ Ume...

Post Image

KADRI siku zinavyokwenda ndivyo tasnia ya filamu inaonekana kudumaa huku muziki wa Bongo Fleva ukionekana kuzidi kukata anga. Achana na Diamond, Ali kiba na Vanessa Mdee, Bongo Fleva ina vichwa vingi vinavyoweza kuwa kielelezo cha ubora wa muziki wao. Ndani ya Bongo Fleva kuna Jux, Mr Blue, Barakah Da Prince, Kasim Mganga, Ney wa Mitego, […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kuhusu ‘Collabo&...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Kajiandae’ akiwa na Alikiba amefunguka na kusema hata yeye anaweza kufanya collabo na msanii yoyote yule kutoka WCB. Ommy Dimpoz alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWz cha (EATV) na kusema kwenye muziki kuna wakati unaweza kupata wimbo ambao unahitaji collaboration na msanii fulani ili […]

Read More..

Pichaz: Ujio wa Mpya wa Wema Sepetu Instagr...

Post Image

Staa mwenye jina kubwa hapa bongo,Wema Sepetu kwa mara ya kwanza mkwa huu, ameweka post yake ya kwanza kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, baada kufuta post zote kwenye ukurasa wake huo wenye followers zaidi ya  milioni mbili na nusu hapo mwezi desemba mwaka jana. Wema amewaahidi mambo mazuri mashabiki wake ndani ya mwaka […]

Read More..

Aunt Ezekiel Ahaha Kuzima Skendo Mbele ya M...

Post Image

UKIGUSA ‘Top 5’ ya wasanii wakike wanaofanya vyema kwenye tasnia ya filamu nchini, jina la Aunt Ezekiel ni lazima liwemo ndani yake. Hii imekuja baada ya kuweza kuhimili mabadiliko makubwa yaliyotokea na kuwapoteza wasanii wengi wenye haiba kama yake. Tulianza kumfahamu pale alipolitwaa taji la urembo jijini Mwanza na kufanikiwa kuliwakilisha Jiji hilo kwenye mashindano […]

Read More..

Chuchu: Mtoto Ameongeza Mahaba kwa ‘Baby...

Post Image

MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kiume (Jayden), amesema mtoto huyo ameboresha mahaba niue kwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’. Akizungumza na Mikito Nusunusu, Chuchu alisema mtoto huyo amekuwa ni faraja kwao wote na mapenzi yameongezeka baina yake na mpenzi wake huyo kitu ambacho anamshukuru Mungu. “Jamani mwacheni […]

Read More..

Wastara Atoboa Sababu ya Kuacha Wanaume

Post Image

Msanii wa filamu, Wastara Juma ameweka wazi sababu kubwa ambayo ilimpelekea kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Bondi Bin Salim na kwenda kuolewa na Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma kisha kuachana naye na kurudiana tena na mpenzi wake Akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live cha (EATV) Wastara anasema aliamua kuachana na Bond kutokana […]

Read More..

Joslin Atoboa Sababu ya ‘Bifu’ ...

Post Image

Rapa na muimbaji wa muziki wa bongo fleva Joslin ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kali amefunguka na kusema yeye na rapa Mr Blue walizidiana uwezo kimuziki Joslin akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, amesema hajawahi kuwa na bifu na Mr Blue ila anachojua yeye ni kwamba walizidiana uwezo kwenye muziki kiasi […]

Read More..

Audio: P-Funk Atoa Sababu za Fid Q Kuwa Ndi...

Post Image

Kwa P-Funk Majani, Fid Q ndiye MC mkali kuliko wote duniani. Si Tanzania, si Afrika pekee, Ngosha ni MC mkali dunia nzima. Majani ameimbia Bongo5 kuwa cha kwanza ambacho watu wanapaswa waelewe ni kuwa kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake, ambapo kwa mtazamo wake Fid hana mpinzani duniani kwenye sekta ya uchanaji. “I […]

Read More..

Sina Mpango wa Kubadili Jina – Harmo Rapa

Post Image

Msanii wa bongo flava ambaye ndiyo anaanza kuchipukia, Harmo Rapa, amesema kuwa hana mpango na wala hawezi kubadili jina hilo lililompa umaarufu kwenye muziki kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake. Msanii huyo anatamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina la ‘USIGAWE PASI’. ametoa msimamo huo kupitia eNewz ya EATV iliyomtafuta kuzungumza naye kuhusu mpango wa […]

Read More..