-->

Daily Archives: February 7, 2016

Mimba ya Kajala Yachoropoka

Post Image

Baada ya kunasa ujauzito ambao ulisemekana ni wa kigogo mmoja serikalini, bahati haikuwa yake mwigizaji Kajala Masanja kwani mimba hiyo imechoropoka. Rafiki wa karibu na mwigizaji huyo ameliambia Risasi Jumamosi kuwa mwigizaji huyo aliugua malaria ambapo dawa alizokunywa zimemsababishia mimba hiyo ichoropoke. “Nahisi ni madawa ya malaria aliyokunywa, huwezi amini alijisikia vibaya baada ya kumeza, […]

Read More..

Vimbwanga Vya Nisha na na Mzee Majuto Ndani...

Post Image

Movie: Kiboko Kabisa Genre:  Bongo Movie Comedy Production: Nisha Production Cast: Mzee Majuto, Nisha, Jada, Neema wa 20%, Hemedy Chande Released date:  29 January 2016 Distributors: Step Entertainment Subscribe kwenye channel ya Bongo Movies TV kwenye Youtube ujionee video nyingi zaidi za Bongo Movies

Read More..

Nuh Afuta Tatoo ya Shilole Mkononi, Ajichor...

Post Image

Msanii wa muziki Nuh Mziwanda, hatimaye ameamua na yeye kufuta tatoo ya Shilole aliyokuwa ameichora mkononi, akienda tofauti na nadhiri aliyojiwekea ya kwenda kaburini na tatoo hiyo. Nuh amesema kuwa, ameamua kufanya hivyo alipogundua tabia halisi za Shilole baada ya kuachana naye, akidai kuwa ex wake huyo ameingilia ukurasa wake wa instagram (hacking), akimtukana katika […]

Read More..

‘Baba yake Diamond: Nililia sana kuto...

Post Image

Baba wa staa wa muziki Diamond Platnumz, Abdul Juma amesema hakuna siku alilia kwa uchungu kama siku ambayo mjukuu wake Tiffah alifanyiwa sherehe ya arobaini bila yeye kualikwa. Akizungumza katika kipindi cha The Weekend Chat Show cha Clouds TV Jumamosi hii, Mzee Abdul alidai licha ya kuwa anawasiliana mara kwa mara na mama yake Diamond, […]

Read More..

Recho Ashikiliwa na Polisi Dubai

Post Image

Msala! Mtoto mzuri mwenye sauti tamu kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho’ anadiwa kushikiliwa na Polisi wa Jiji la Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) kwa kosa la kuzidisha muda wa kibali cha kuishi ugenini (overstay), Risasi Jumamosi lina mchapo kamili. TUJIUNGE NA CHANZO Kwa mujibu wa chanzo makini, Recho alitoroshwa na mwanaume […]

Read More..

Pata Mkopo Usio na Riba

Post Image

Kwanini urejeshe mkopo wa vicoba kwa riba na hali pesa za akiba ni zenu wenyewe? Basi mkopo huu ni kwaajili ya MTU yeyote MWAMINIFU na mwenye KIU ya MAENDELEO. Unataarifiwa kuja kupata elimu ya kina kuhusu namna mkopo bila riba unavyofanya kazi na ukielimika na kuielewa unaweza kuamua kujiunga (SIO LAZIMA) kwenye VICOBA hii isiyo […]

Read More..