Wanne Wauawa na Polisi kwa kuvamia Benki Mb...
Polisi wakiimarisha ulinzi kwenye benki hiyo iliyovamia na wanaosadikiwa kuwa majambazi Mbagala, Dar. WATU wanaosadikiwa kuwa majambazi na ambao idadi yao inasadikiwa kuwa sita wakiwa na mabomu na bunduki za kisasa jana walivamia Benki ya Access tawi la Mbagala jijini Dar es Salaam ambako walipora viroba vya fedha, kuua mlinzi na baadaye wanne kati wakauawa […]
Read More..