Mimi Ndiye Msanii Nianyefanya Vizuri Sokoni...
MWIGIZAJI anayefanya vizuri zaidi sokoni katika soko la filamu nchini, Vicent Kigosi anasema kushuka kwa soko la filamu nchini na kukosa ushindani ambao ulikuwepo hapo awali. Akifafanua zaidi alisema tofauti na zamani filamu zilikuwa zikizungumziwa zaidi sababu ya ushindani wake mkubwa na marehemu Steven Kanumba. Kigosi anasema kipindi hicho ya filamu kutoka kulikuwa na mambo […]
Read More..