-->

Daily Archives: February 28, 2016

Full Interview: Gabo Zigamba Akizungumzia F...

Post Image

Staa mkali wa Bongo Movies, Gabo Zigamba amefunguka mengi kusu filamu yake ya Kona Tatu andlifanya mahojiao na mtangazaji Bond wakipindi cha action &Cut. Mtazame hapo chini

Read More..

Diamond Kuachia Wimbo wa Kurap Uitwao ‘Si...

Post Image

Staa wa muziki Diamond Platnumz amejipanga kuachia wimbo mpya wa kurap uitwao Simba. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, Meneja wa msanii huyo, Babu Tale alisema wimbo huo utakuwa sio wa biashara bali ni zawadi kwa mashabiki. “Kama Hip Hop ni biashara Diamond amefanya wimbo wa kurap lakini hatujauchulia kama ile […]

Read More..

Brandy: N’tamkumbuka Kanumba Hadi Nakufa!

Post Image

Kwenye kolamu hii leo tunaye msanii Brandy Godwin anayebamba kwenye Tamthiliya ya Kivuli katika Kituo cha Star Swahili ambaye amebananishwa ipasavyo na Mwandishi Wetu, Mayasa Mariwata na kufunguka ipasavyo kutokana na mambo mbalimbali kuhusu kazi zake na jamii inayomzunguka. Ijumaa: Ni kitu gani kilichokusukuma kuingia kwenye sanaa ya uigizaji? Brandy: Kiukweli napenda kuigiza sana ni […]

Read More..

Rais Magufuli Kasafiri kwenda Arusha

Post Image

President wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ameshafika Arusha tayari kwa ajili ya kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki. Kwenye hii picha anaonekana akisalimiana na mbunge wa Arumeru Mshariki Joshua Nassari ambae alikua mmoja wa viongozi  na wananchi waliojitokeza kumpokea uwanja wa ndege wa […]

Read More..

Sikumbuki Hata Kukutana na Gigy Money ̵...

Post Image

Msanii Rich Mavoko amekanusha taarifa za kuwahi kuwa na mahusiano na video queen Gigy Money, ambaye alisema alishawahi kuwa naye akiwa kidato cha pili. Akiongea na East Africa Radio Mavoko amesema taarifa hizo si za kweli, na hakumbuki hata kuwahi kukutana naye mrembo huyo, achilia mbali kuwa na mahusiano naye. “Mi sijawahi kutoka naye, hata […]

Read More..

Filamu Zetu Zinapotushawishi ‘Tunywe Maji...

Post Image

NAWASALIMU wapendwa wasomaji wa gazeti hili, hasa katika kipande hiki ambacho kinatupa wasaa za kuzungumzia masuala kadha wa kadha katika nyanja ya filamu hapa nchini. Nimekuwa nikiandika mambo mengi katika eneo hili na kwa hakika baadhi ya wadau wamekuwa na mrejesho mzuri kuhusu mada ninazoziandika. Yapo mengi ambayo yanaendelea kwenye filamu zetu na nimekuwa nikiyaeleza […]

Read More..