Wema Ashauriwa Aachane na Wanaume wa Instag...
Malkia wa controversy, Mange Kimambi yupo shingoni mwa Idris Sultan akimuelezea kuwa miongoni mwa ‘these young guys wanaoshinda kwenye social media.’ Mange amepost kipande cha video kinachomuonesha Idris akiimba wimbo wa Justin Bieber, Sorry. “I think wote mshaona balaa la Idris na Wema huko snap chat. Idris ndo alieanza vijembe mwishowe Wema kamjibu Kwa kusema […]
Read More..