-->

Daily Archives: February 29, 2016

Wanaosema Nimefulia ni Mamluki na Kenge -Du...

Post Image

Msanii Dudu baya amewalalamikia Watanzania na kusema kuwa hawafikirii kitu kingine cha msingi pale msanii anapokuwa kimya, na badala yake wanakimbilia kusema msanii huyo amefulia. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Dudu baya amesema mashabiki weni ndio wa kwanza kulaumu kuwa wasanii wa Tanzania hawana elimu, hivyo wakikaa kimya ili kufanya […]

Read More..

Picha: Wasanii wa Fialamu ya Tajiri Mfupi W...

Post Image

Wasanii wa filamu nchini Mr Kupa na Chodo, walitembelea katika kituo cha watoto Yatima kilichopo Tabata, kwaajili ya kutoa msaada katika kituo cha HURUMA, kama sehemu ya shukrani kwa kuingia kwa filamu mpya ya Tajiri MFUPI sokoni siku ya leo.

Read More..

Exclusive Video: Harmonize Ft Diamond Platn...

Post Image

Video mpya ya msanii Harmonize kutoka Wasafi Classic amemshirikisha Boss wake Diamond Platnumz wimbo unaitwa “Bado”  Video imefanyika nchini Afrika Kusini.

Read More..

Nataka nifikishe watoto wanne – Flora Mvu...

Post Image

Msanii wa filamu Flora Mvungi ambaye pia ni mke wa mwanamuziki H.Baba, amejibu shutuma zinazoongelewa na watu katika mitandao ya kijamii kuwa anazaa haraka haraka mno ambayo ni hatari kwa afya yake. Akizungumza katika kipindi cha Hatua Tatu cha Times Fm, Flora amesema kila mtu ana maamuzi yake kuhusu maswala ya uzazi. “Nataka nifikishe watoto […]

Read More..

Kuvunja Watu Mbavu…Mzee Majuto ‘Katusua...

Post Image

Maarufu Bongo, Amri Athumani ‘King Majuto au Mzee Majuto’. Kila mtu na mtoko wake, mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athumani ‘King Majuto au Mzee Majuto’ anatengeneza mkwanja mrefu kwa kuwavunja mbavu watu. Leo ndiye ana husika katika makala yetu ya utajiri na utapata kujua ni vitu gani anavyomiliki kupitia sanaa yake hiyo. Toyota Noah Mzee Majuto: […]

Read More..

Leonard Di Caprio Aandika Historia

Post Image

JANA usiku katika jiji la Los Angeles kulikuwa na sherehe kubwa ya utoaji wa Tuzo za 88 za Oscar. Katika tuzo hizo, mshiiki mmojawapo, Leonard Di Caprio kwa mara ya kwanza aliandika historia ya kuchukua tuzo hiyo ambapo aliwahi kujaribu zaidi ya mara tano. Tuzo hiyo ya Caprio aliyewahi kubamba katika Filamu ya Titanic na […]

Read More..

1

Hatimaye Rayuu Aolewa!

Post Image

Alice Bagenzi ‘Rayuu’ na mumewe Ahmedi Said. Stori: Mayasa Mariwata, Wikienda Dar es Salaam: Cherekochereko! Habari ikufikie kuwa mwigizaji wa sinema za Kibongo aliyejipatia umaarufu baada ya picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni, Alice Bagenzi ‘Rayuu’, hatimaye ameolewa na mfanyabishara mwenye asili ya Kiarabu aitwaye Ahmedi Said. Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu […]

Read More..