-->

Monthly Archives: August 2016

Mwanamitindo Flaviana Matata Aiburuza Mahak...

Post Image

MFUKO wa Pensheni wa PSPF umeshtakiwa mahakamani ukitakiwa kumlipa mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi za mitindo nchini Marekani, Flaviana Matata, Sh milioni 165. Mfuko huo umeshtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kukiuka mkataba wa mwanamitindo huyo anayewakilishwa na Wakili Edward Lisso wa Law Associates Advocates. Mfuko huo unadaiwa kukiuka mkataba walioingia Januari, mwaka […]

Read More..

Lulu Diva Alilia Uolewa

Post Image

MUUZA sura kwenye video za Kibongo ambaye pia ni muigizaji, Lulu Abbasi ‘Lulu Diva’ amenyetisha kuwa kutokana na changamoto za kimaisha anazokutana nazo anatamani kuwekwa ndani muda wowote kama mke jambo ambalo anafikiria linaweza kumsaidia kwa kiasi fulani kimaisha kwa sababu atakuwa anaambulia angalau hata pesa ya meza. AKipiga stori na BBM, Lulu ambaye hivi […]

Read More..

Roma Afunguka Kuhusu Professor Jay na Hip ...

Post Image

Muziki wa Singeli unaonekana kuwaumizwa kichwa wasanii wengi wa Hip Hop hasa baada ya Professor Jay kuachia wimbo wake mpya ‘Kazi Kazi’ aliomshirikisha Sholo Mwamba na kuamua kuuita style hiyo jina la Hip Hop Singeli. Akiongea na kipindi cha E News cha East Africa TV, Roma Mkatoliki amemtetea Jay kwa kusema kuwa muziki wote umeshafanya […]

Read More..

Lowassa, Rasi Magufuli Wakutana Jubilei ya ...

Post Image

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa jana tarehe 27 Agosti, 2016 ameadhimisha Jubilei ya Dhahabu ya Miaka 50 ya Ndoa yake na Mama Anna Mkapa katika kanisa la Mtakatifu Petro lililopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam.   Hafla ya Jubilei hiyo imefanyika nyakati za mchana katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa uliopo […]

Read More..

Hii Ndiyo Gharama ya video ya Saka Hela ya ...

Post Image

Baada ya kukaa kimya bila kutaja kiasi cha fedha alichotumia kushoot video yake ya ‘Saka Hela’ Nay Wa Mitego amefunguka rasmi kwa mara ya kwanza. Rapper huyo amekiambia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachoruka kupitia EATV kuwa ametumia kiasi cha $25,000 kushoot video yake hiyo ambazo kwa hela za kibongo ni zaidi ya shilingi milioni […]

Read More..

Vera Sidika, Huddah… Bifu Lao Lawapaisha ...

Post Image

MASTAA wa kike wanaochuana vikali katika mitindo nchini Kenya, Vera Sidika ‘Vee Beiby’ na Alhuda Njoroge ‘Huddah’ wanazidi kupata umaarufu Bongo kutokana na bifu lao la muda mrefu sasa. Huddah anajulikana kitambo kidogo hapa Bongo, lakini kwa sasa ni kama anampaisha mwenzake Vee Beiby kutokana na bifu lao linalofukuta. Kwa muda mrefu Huddah amekuwa akimchokonoa […]

Read More..

Dully Sykes: Muziki wa Tanzania ni wa Wazar...

Post Image

Msanii Dully Sykes amesema kabila la wazaramo ambao wana asili ya jiji la DSM, ndiyo wenye muziki wa singeli ambao umeshika kasi kubwa kwa sasa, na watu wengi kusema huo ndiyo muziki halisi wa Tanzania. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Dully Sykes amesema muziki wa singeli unatokana na muziki wa mchiriku ambao […]

Read More..

Kuna Kitu Ninacho Moyoni Mwangu – Wema S...

Post Image

Tangu malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu aachane na mpenzi wake Idris Sutlan kuna mengi yamekuwa yakizungumzwa katika mitandao ya kijamii. Muigizaji huyo hakuwahi kuzungumza sababu ya kuachana na mshindi huyo wa shindano la Big Brother Africa Hotshots 2014 hali ambayo imekuwa ikiibua maswali mengi kwa mashabiki wake. Alhamisi hii Wema amewataka mashabiki wake katika […]

Read More..

Chuchu Hans: Simtawali Ray, Nimembadilisha

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amefunguka kuwa staili yake ya maisha imechangia kumbadilisha tabia mpenzi wake Vincent Kigosi ‘Ray’, ambaye pia ni msanii wa filamu. Chuchu aliye Miss Tanga mwaka 2005 amesema anakerwa na maneno ya watu mitandaoni kwamba anamtawala Ray, wakati ukweli ni kwamba wanaishi kwa kusikilizana. “Watu wanaongea sana uzushi, kitu […]

Read More..

Majambazi Wavamia Nyumba ya Q Chillah, Waib...

Post Image

Q Chila amethibitisha nyumba yake kuvamiwa na majambazi na wamefanikiwa kuiba baadhi ya vitu vilivyomo ndani ikiwemo laptop iliyokuwa na baadhi ya colabo zake. Akiongea na Clouds FM, muimbaji huyo amedai kuwa thamani ya vitu vyake vilivyoibiwa ni kama milioni mbili au tatu. “Watumishi wa shetani wameamua kufanya kitu cha kihistoria, siku zote wanarukaruka mmoja […]

Read More..

Neno Moja kwa Dudubaya, Kwa Kumfundisha Hik...

Post Image

Msanii Godfrey Tumaini au Dudubaya ameonesha mfano jinsi ya kuwa baba bora, kwa kuzungumza na mtoto wake kuhusu maambukizi ya magonjwa ya zinaa, na jinsi ya kujikinga na magonjwa hayo kwa kutumia condom. Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Dudubaya amesema huwa anazungumza na kijana wake kwa kuwa hataki apate magonjwa ya zinaa […]

Read More..

‘Mchongo Sio’ ya Duma,Riyama, Mboto na ...

Post Image

Kila mtu anpenda kile anachokifanya katika maisha yake kifaniwe,na kila mtu atavuna alichokipanda,kwa hiyo kama jambo lako lisipofanikiwa basi huna budi kusema Mchongo sio. Daudi Michael ‘Duma’ na wakali wengine wa bongo movie kama Riyama Ally, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na wengine amehusika kwenye filamu hii. Usikose filamu hii kutoka Steps Entertainment 12.09.2016 nchi nzima

Read More..

Kwanini Wanaomuita Young Dee ‘Paka...

Post Image

Maxmilian ambaye ni boss na msimamizi wa msanii wa Rap nchini Young Dee amesema hali ya rapa huyo imeimarika na anaendelea vizuri hivyo watu watarajie kazi nzuri kutoka kwake. Akipiga story ndani ya eNewz, Max amesema “Sasa namfananisha Young Dee kama ‘Paka’ kwa hiyo kwa wale watu wanaomuita Paka rapa huyo naona hawakosei kwa kuwa […]

Read More..

Shilole; Kilichokupata Feri ni Sawa Tu, Kwa...

Post Image

ZUWENA Mohammed ndilo jina alilopewa na wazazi wake alipozaliwa nyumbani kwao Igunga, mji mdogo, lakini maarufu mkoani Tabora. Lakini katika harakati za maisha, amejikuta akipata umaarufu mkubwa nchi nzima na jirani, kwa jina lake la kisanii la Shilole. Wengine wanamuita Shishi Baby. Huyu anathibitisha kuwa mwanamke akiamua, inawezekana. Kwa sababu historia yake inaonesha kuwa ni […]

Read More..

Kisa Kutohudhuria Sherehe Yake, Romy Amfung...

Post Image

BAADA ya hivi karibuni ndugu wa Mwanamuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond’, kufanya sherehe ya siku yake ya kuzaliwa na kuhudhuriwa na mastaa kibao isipokuwa msanii huyo na kudaiwa kuwa wana bifu, Romy Jones ‘DJ RJ’ ameibuka na kueleza kilichotokea. Tetesi zilizagaa kwamba Diamond na Romy wana bifu ndiyo maana hakuonekana kwenye sherehe hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa […]

Read More..

Singeli Ilikuwa ni ya Wahuni – Man Fongo

Post Image

Msanii Man Fongo ambaye ni bingwa wa kuipiga singeli studio na mitaani, ametoa sababu ambayo ilifanya muziki huo uanze kwa kukwama, na kuchelewa kutoka. Akizungumza na Planet Bongo ya East AFrica Radio, Man Fongo amesema muziki huo ulikuwa umeshaaminika ni wa kihuni, kwani hata mitindo yake ya uchezaji ilikuwa siyo ya kufaa kwa jamii, na […]

Read More..

Da Zitta Anapenda Story Halisi Katika Filam...

Post Image

MKURUGENZI wa kampuni ya Zitta Production Zitta Matembo ‘Da Zitta’ amefunguka kwa kusema kuwa siku zote anapenda kutengeneza filamu ambazo zinagusa jamii na ni hadithi halisi ambazo zinaizunguka jamii yetu kila siku na anafurahia sana kuigiza maisha halisi. “Nilipanga kuwa ni msemaji wa wanyonge ambao hawana pa kuongelea mimi nachukua nafasi kuwakilisha mawazo yao ambayo […]

Read More..

Mr Blue: Barakah na Naj Walitaka Kunivunjia...

Post Image

Mr Blue amekiri kuwa skendo yake kuwa amekuwa akiwasiliana na ex wake, Naj ambaye kwa sasa ana uhusiano na Barakah Da Prince ilitaka kuivunja ndoa yake. Akiongea na Clouds FM, rapper huyo wa ‘Mboga Saba’ amedai kuwa mke wake, Wahyda sasa amekuwa na wivu wa kufa mtu tangu kuzuke skendo hiyo. “Sasa hivi naona kama […]

Read More..