-->

Monthly Archives: August 2016

Sizonje ya Mrisho Mpoto Yamkuna Rais Magufu...

Post Image

Utunzi mahiri wa mashairi na ughani uliotukuka wa Mrisho Mpoto, umeligusa sikio la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameeleza kuwa shabiki mkubwa wa kazi za msanii huyo hususan wimbo wake ‘Sizonje’. Akizungumza na Mpoto juzi, muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Ndege […]

Read More..

Hiki Ndicho Chanzo cha Bifu la Vera na Hudd...

Post Image

Mrembo kutokea pande za Mombasa nchini kenya, Vera Sidika ametoa sababu ya kuwa na bifu na mlimbwende mwenzake wa nchini humo, Huddah Monroe, bifu ambalo limeteka vyombo vya habari kwa muda mrefu Akifunguka kwenye FNL ya East Africa Tv na Radio, Vera Sidika amesema wakati yeye akiwa Mombasa, Huddah Monroe tayari alishakuwa maarufu jijini Nairobi, […]

Read More..

Giggy Money: Sikumbuki Idadi ya Wanaume Nil...

Post Image

STAA wa kike Bongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ anayetingisha kwa ishu kibao mjini, amefunguka kuwa anapenda maisha yake na hajali watu wanavyomchukulia tofauti. Akipiga stori na Swaggaz, Giggy ambaye ni mtangazaji wa Radio Choice FM, Video Vixen na msanii wa Bongo Fleva, amesema skendo zake ndizo zinazompaisha na haoni tabu hata kidogo kusemwa au kuandikwa kuhusiana […]

Read More..

Dully Sykes Amtetea Harmonize Kumuiga Diamo...

Post Image

Msanii Dully Sykes ametoa maoni yake baada ya tetesi za Harmonize kumuiga Diamond, mara baada ya watu kuzidi kutoa maoni yao baada ya kuachia video yake aliyomshirikisha. Akizungumza kwenye Friday Night Live ya EATV, Dully Sykes alianza kwa kutetea kuwa hawafanani lakini baadae akaja kubadilisha upepo,na kusema Harmonize ana kila sababu ya kufanana na Diamond, […]

Read More..

Kama Unataka Kumuoa Johari, Hii Inakuhusu!

Post Image

STAA wa kitambo kwenye filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema baada ya kukaa singo kwa muda mrefu, sasa yupo tayari kuingia kwenye ndoa wakati wowote. Akizungumza na Swaggaz, Johari amesema anatamani sasa naye aingie kwenye ndoa kwa kuwa umri wake unamruhusu kufanya hivyo. “Mimi ni mwanamke kamili, ni mtu mzima. Nimeshakuwa sasa, kwahiyo kiukweli […]

Read More..

Filamu ya ‘Kesho Yangu’ Kutoka Mwezi Hu...

Post Image

Laiti kama mwenyezi mungu angetupa uwezo wa kujua kesho yetu,nafikili duniani,kusingekuwa na majuto,lakini je umeshawai kuonja ladha ya kuku uliemfuga mwenyewe. Usikose filamu hii inapatikana madukani kuanzia tarehe 29 mwezi huu nchi nzima.  

Read More..

Vera Sidika Atoa Angalizo Kwa Wasichana Kuh...

Post Image

Mlimbwende ambaye anasumbua katika mitandao ya kijamii kutokana na shepu yake ya kibantu pamoja na kuweka matiti feki, Vera Sidika amewakanya mabinti wengine kutofuata yale aliyoyafanya, kwani wanaweza wakajiingiza kwenye matatizo. Akizungumza kwenye FNl ya East Africa Television, Vera Sidika amesema yeye aliamua kujiongeza matiti yake ili awe na mwili unaoendana na jinsi alivyo kwenye […]

Read More..

Nisha: Mastaa Wasahau Penzi Langu

Post Image

SALMA Jabu maarufu kwa jina la ‘Nisha’, siyo geni masikioni mwa wapenzi wa filamu za Kitanzania ambapo watu wengi walianza kumfahamu kupitia kipaji chake cha uchekeshaji. Nisha amewahi kufanya vizuri kwenye baadhi ya filamu kama  Simu Sikioni, Because of Facebook, Chumba cha Siri,  Mchana wa Kiza, Bado Niko Hai, Pusi na Paku na nyingine nyingi. […]

Read More..

Picha: Zari Ajiachia na Mimba Yake!

Post Image

Hizi ni baadhi ya picha za Mpenzi wa Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ aizotupia mtandaoni kuonyesha mimba yake. Mastaa hao wanatarajia kupata mtoto wa pili na mpenzi wake mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz.  

Read More..

Usiwaze Kunifikia Utakuwa Mtumwa Wangu R...

Post Image

Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kuwataka wasanii ambao wanachipukia na wale ambao wapo kwenye muziki wafikiri kufanya mambo zaidi yake na wasifikirie au kuwaza kuwa kama Diamond Platnumz. Diamond Platnumz alisema haya kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusema wasanii ambao watakuwa wakimuwaza yeye watakuwa watumwa wake, lakini kama watafikiria kufanya […]

Read More..

Mzee Yusuph Ameacha Muziki na Kumrudia Mung...

Post Image

Mfalme wa muziki wa taarabu mzee Yusuph maarufu kama “mfalme wa taarabu” amefunguka na kusema kuwa sasa ameamua kuachana na muziki huo na kumrudia Mungu huku akiwataka watanzania pia kumrudia Mungu. Akiongea na eNewz baada ya kutoka msikitini Mzee Yusuph amesema kwa taarifa za awali watanzania wanatakiwa kutambua kuwa yeye ameachana na muziki na sasa […]

Read More..

AliKiba Atoa Tsh 21M kwa ‘GSM’, Ampiku ...

Post Image

Msanii wa muziki AliKiba amempiku Diamond kwa kutoa tsh 21 Milioni kwa GSM Foundation ikiwa ni siku chake toka muimbaji huyo wa wimbo ‘Kidogo’ kutoa msaada wa tsh 20 Milioni kwa ajili ya kusaidia jitihada za taasisi hiyo za kutoa huduma ya upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi. Muimbaji huyo ambaye anafanya […]

Read More..

Shilole Afungukia Tatuu Zake za Kichina

Post Image

MWANADADA anayefanya poa kwenye game la muziki Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefungukia maana halisi ya tatuu zake mpya alizojichora baada ya kufuta zile za awali ikiwemo ile ya X- wake, Nuh Mziwanda.   Shilole aliiambia safu hii kuwa, mbali na zile zinazosomeka kama jina lake la Shishi, zile za Kichina ni alama za kimuziki ambazo zinaonesha […]

Read More..

Mchungaji Alowa Maneno ya Mama Wema

Post Image

Yule mchungaji aliyejitokeza hivi karibuni kumuombea muigizaji wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu, Daudi Mashimo, amedaiwa kuvurumishiwa matusi na mama wa staa huyo, Mariam Sepetu alipokuwa akimpigia simu kumuombea. Kwa mujibu wa chanzo chetu, mchungaji huyo anayeongoza kondoo katika Huduma ya Injili ya Maumivu na Uponyaji iliyopo Mbezi-Msakuzi jijini Dar, anadaiwa kukutwa na dhahama hiyo […]

Read More..

Kajala Afunguka Kupagwa Baada ya Kuhongwa G...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Kajala Masanja ambaye kwa sasa yupo karibu sana na msanii Quick Racka amefunguka na kusema kuwa alikurupuka kukubaliana na mwanaume ambaye hakuweza kumfahamu vizuri tabia zake baada ya yeye kuhongwa gari aina ya Harrier. Kajala alitoa ushuhuda huo kwenye kipindi cha Friday Night Live ya (EATV) alipokuwa akiwapa hamasa mabinti na […]

Read More..

Alikiba na Mr Blue Kumrudisha Abby Skillz

Post Image

Msanii Alikiba na Mr Blue ambao wote wanafanya vizuri kwa sasa kwenye muziki wa bongo fleva wameshirikishwa kwa pamoja kwenye wimbo mpya wa msanii Abby Skillz ambao unategemewa kutoka siku za karibuni. Kutokana na kipande kidogo ambacho ameimba Alikiba kwenye wimbo huo, kimepokelewa vizuri na mashabiki ikiwa ni ishara kwamba wimbo huo utafanya vizuri na […]

Read More..

Diamond Kutoa Album ya Kimataifa

Post Image

Msanii Diamond Plutnumz amekusudia kuondoa kiu ya watu wengi kwenye game la bongo fleva, kwa kutoa album ya nyimbo zake. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diamond amesema amekusudia kuwa kabla ya mwisho wa mwaka huu atatoa album ambayo itabeba nyimbo zenye ubora wa kimataifa, na kuondoa ukimya wa kutotoa album. “Mwaka huu […]

Read More..

Mashabiki Naomba Mnisamehe – Mbasha

Post Image

Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Emmanuel Mbasha amesema anaomba radhi kwa mashabiki wake wote ambao walikuwa wanafuatilia habari zake kuhusiana na kutengana na mke wake Flora Mbasha na yeye kukataa kuzungumzia habari hizo kwa muda wote. Akizungumza na EATV kipindi cha FNL, Mbasha amesema hapendi kuzungumzia mambo yake na Flora Mbasha kwa sababu tayari […]

Read More..