Sizonje ya Mrisho Mpoto Yamkuna Rais Magufu...
Utunzi mahiri wa mashairi na ughani uliotukuka wa Mrisho Mpoto, umeligusa sikio la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameeleza kuwa shabiki mkubwa wa kazi za msanii huyo hususan wimbo wake ‘Sizonje’. Akizungumza na Mpoto juzi, muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Ndege […]
Read More..





