-->

Monthly Archives: August 2016

Shilole Adaiwa ‘Kumpoteza’ Nuh!

Post Image

KUNA tetesi kuwa mwanadada asiyekauka kwenye ‘media’ ambaye pia anafanya Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amemuundia jeshi aliyekuwa mwandani wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kuhakikisha linamfanyia fujo mara kwa mara ili asiishi kwa amani wala kufanya vizuri kimuziki. Baada ya tetesi hizo kuenea, Burudani Mwanzo Mwisho (BMM), lilimvutia waya Shilole ili kufungukia madai […]

Read More..

Goodluck Gozbert: Natumia Muda Mwingi Kutaf...

Post Image

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Goodluck Gosbert amesema kuwa kwa sasa yupo singo na anatumia muda mwingi kutafakari mamb makuu ua Ufalme wa Mungu na muziki wake. “Niko singo kwa sasa, lakini sio kwamba wasichana hawanisumbui napokea simu zao lakini kwa sasa sio wakati wakati wake, muda wangu mwingi nautumia kutafakari mambo makuu yanayohusu ufalme […]

Read More..

Thea Kuja na Tamthilia 3 Mpya Kwenye Runing...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu, Salome Urassa ‘Thea’ amesema anajipanga kuachia tamthilia 3 mpya baada ya soko la filamu kudai kubadilika. Akiongea na Bongo5 Jumapili hii, Thea amesema kuongezeka kwa runinga kumewafanya wasanii wa filamu kufikiria nje ya box kwa kutengeza tamthilia. “Kusema kweli sasa hivi tamthilia za kwenye runinga ndo zimekuwa issue, runinga nyingi zinahitaji […]

Read More..

Diamond Analipa Fadhila kwa Chid Benz

Post Image

Msanii wa bongo fleva ambaye anafanya vizuri kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa kwenye muziki, ametoa siri ambayo inamfanya awe mstari wa mbele kumsaidia msanii Chid Benz, alipopata matatizo. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diamond Platnumz amesema anafanya hivyo kwa Chid Benz kutokana na kitendo alichomuonyesha kabla hajawa maarufu, kukubali kufanya naye collabo […]

Read More..

Wema Sepetu, Ivan Ex wa Zari na Diamond Wat...

Post Image

Msanii wa filamu Wema Sepetu anaendelea kuuthibitishia umma kwamba hana tena kinyongo na Ex wake wa zamani Diamond Platnumz baada ya Jumamosi hii kumwandikia ujumbe mzuri bintiye Diamond, Tiffah katika siku yake ya kuzaliwa. Wawili hao hivi karibuni wameonyesha kushirikiana mambo kadhaa katika mitandao ya kijamii licha ya wiki mbili zilizopita kusambaa kwa tetesi ya […]

Read More..

Jide, Mwarabu Wazua Utata

Post Image

MKONGWE wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Jide’ na Mwarabu mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, wamezua utata wa aina yake kufuatia msanii huyo ‘kumposti’ mara kwa mara kwenye mtandao wake wa Instagram. Risasi Jumamosi lilianza kumfuatilia Jide baada ya kutonywa na chanzo kuwa msanii huyo amekuwa akimposti Mwarabu huyo na kwamba kuna kila […]

Read More..

Gabo Awapa Neno Waliomzushia Kifo Baada ya ...

Post Image

Hivi karibuni msanii wa filamu za Kibongo Gabo Zigamba alipata ajali akielekea kutembelea kwenye hifadhi ya Ruaha ikiwa ni muda mfupi tu toka alipotembelea kituo cha Watoto yatima na kutoa misaada Iringa na baadhi ya watu walizusha kuwa amefariki dunia mwenyewe amefunguka kupitia akaunti yake ya Instagram. “Uwongo unaoishi ndio Ukweli Mpaka Ukanushwe,nami naanzia hapa […]

Read More..

Mzee Chilo Awashukia Wasanii Kuhusu Kunyony...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Mzee Chilo amesema siyo kweli kwamba wasambazaji Wakiindi wanawanyonya wasanii wa filamu. Akiongea na Bongo5 Jumapili hii, Mzee Chilo amesema kuwa wasanii wengi kwa sasa wanafanya filamu mbovu ndio maana filamu zao zinakosa soko kwa Waindi. “Wanaosema kwamba bongo movie imeshuka sijui hizi taarifa wanazipata wapi, mimi nipo kwa miaka […]

Read More..

Mashabiki Wamchana Raymond

Post Image

Msanii Raymond ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Natafuta kiki’ amewachefua baadhi ya mashabiki zake kwa kubadili muonekano wake baada ya kusuka rasta katika kichwa chake kitu ambacho kinaonesha kuwakera baadhi ya mashabiki wake. Raymond alipotupia picha ya muonekano wake mpya kwenye kurasa zake za mitandao ya jamii, mashabiki zake wakaanza kumshauri kuwa […]

Read More..

Zari Adaiwa Kutishia Kutoa Mimba!

Post Image

Hakuna ubishi kuwa mpenzi wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari’ ni mjamzito lakini habari ambayo hujaisikia ni kwamba hivi karibuni mwanamama huyo alidaiwa kutaka kuichoropoa mimba hiyo.   Kisa Lynn Chanzo chetu ambacho ni rafiki wa karibu wa Diamond kilitumwagia ubuyu kuwa, baada ya yale madai kuwa Diamond anatoka na yule Video […]

Read More..

Kujiamini Ndio Kila Kitu –Kitale

Post Image

MCHEKESHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Yussuf Mussa Kitale ‘Rais wa Mateja’ anasema kuwa ili kufanikiwa kwa kila jambo ni kujiamini na kuacha uoga hiyo ndio imemfanya hadi leo kushindwa kuuza kazi zake na haki zake kwa wasambazaji. “Wasanii wengi waoga kusambaza kazi zao, mimi nimesambaza kazi nyingi lakini Shobo dundo na Nikabu zinafanya vizuri […]

Read More..

Singeli Tuipe Nguvu Zaidi- Juma Nature

Post Image

Msanii mkongwe wa bongo fleva Juma Kassim Nature amefunguka na kusema kuwa katika muziki Bongo ambao unaweza kupewa nafasi kubwa zaidi ni muziki wa singeli kwanza anasema ni muziki wenye asili yetu lakini pia ni muziki ambao tayari watu wanauelewa Juma Nature alisema haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema […]

Read More..

Miyeyusho Imenihamishia Kenya- Mlela

Post Image

YUSUF Mlela mwigizaji wa filamu Bongo amefunguka kwa kusema kuwa amepata mkataba wa kufanya kazi na Wakenya baada ya ubabaishaji kuingia katika soko la filamu Tanzania kwani bila hivyo hali ingekuwa mbaya sana hivyo alipopata mkataba kuigiza nchini Kenya hakusita. mzalendo kwa nchi yake lakini hapa kwetu miyeyusho imezidi unaingia location kwa shida na kuuza […]

Read More..

Ray C Full Kicheko

Post Image

MSANII mkongwe wa Muziki wa Kizazi Kipya aliye katika majaribu makubwa ya matumizi ya madawa ya kulevya, hivi sasa anadaiwa kuwa full kicheko kufuatia mabadiliko makubwa ya afya yake tangu alipoanza kupata matibabu katika kituo cha wahanga wa ‘sembe’, Sober House kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani. Kwa mujibu wa bosi wa kituo hicho, Karim Bhanji, Ray […]

Read More..

Gigy Money: Nazaa na Idris

Post Image

Msanii wa muziki ambaye pia anafanya ‘modeling’ na utangazaji kwenye Kituo cha Redio cha Choice FM cha jijini Dar, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amejitangazia ushindi wa kumnasa aliyekuwa mpenzi wa Wema Sepetu, Idris Sultan huku akitamba kuwa, sasa atamzalia mtoto. Awali kulikuwa na vita nzito kati ya Wema na Gigy ambapo wakati Wema akiendelea kupalilia […]

Read More..

Shamsa Ford: Baada ya Posa Muda Wowote Naol...

Post Image

BAADA ya kutolewa barua ya uchumba na mpenzi wake mpya, Chidi Mapenzi, mwigizaji, Shamsa Ford, amefunguka kwamba wakati wowote atafunga ndoa na mwanaume huyo kwa kuwa mipango yao imeshakamilika. Shamsa aliliambia MTANZANIA kwamba licha ya kupitia katika changamoto za wapenzi wengi, mpenzi wake huyo wa sasa ndiye aliyeonyesha ushawishi hadi kutaka kumuoa. “Kwa hatua hii […]

Read More..

Mwana FA Awataja Hawa Ndiyo Wasanii Wake Bo...

Post Image

Mwanamuziki Mwana FA amefunguka na kuwataja wasanii wawili ambao yeye siku zote amekuwa akiwakubali kutokana na uwezo wao na kazi kubwa waliyoifanya katika muziki wa Hip Hop Tanzania kiasi cha kuwafanya watu waamini muziki huo siyo uhuni bali ni kazi. Mwana FA kupitia kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa na EATV alisema Professor Jay pamoja […]

Read More..

Picha: Wema Sepetu, Idris Wanaswa ‘Wakiro...

Post Image
Read More..