KR Muller:Sipo tayari kumzungumzia Juma Nat...
Msanii maarufu wa Bongo Fleva nchini KR Muller amesema hawezi kumzungumzia msanii mwenzake Juma Nature kuhusu kauli zake kwamba ana wasiwasi KR anatumia madawa ya kulevya. KR ameyasema hayo katika kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV alipotakiwa kutoa kauli yake kuhusu tuhuma ambazo Juma Nature amekuwa akizitoa mara kwa mara kwamba yeye anatumia […]
Read More..





