Darasa, Billnas Wamshukuru Mwana FA kwa Kuw...
Rapa wawili ambao kwa sasa wanafanya vizuri kwenye muziki wa bongo Darasa pamoja na Billnas wamefunguka na kutoa shukrani kwa msanii Mwana FA baada ya msanii huyo kuwatambua na kusema kuwa anawakubali wasanii hao kama wasanii wanaofanya vyema kwa sasa kwenye muziki wa Hip hop. Mwana FA alisema kuwa Billnas pamoja na Darasa ni wanamuziki ambao […]
Read More..






