-->

Monthly Archives: January 2017

Mafanikio ya Wema Sepetu Miaka 10 ya Ustaa

Post Image

SHINDANO lenye umri wa miongo miwili na tayari limeshatoa warembo kibao, lakini ukweli usio na shaka ni lile shindano la mwaka 2006 lililokuwa na mvuto wenye ladha iliyobeba msisimko wa kipekee. Ni fainali zilizompa Wema Sepetu heshima ya kuwa Miss Tanzania. Lakini pia ni mwaka ambao umewatoa mastaa wengi wa Bongo. Mbali na Wema, wapo […]

Read More..

Shilole Ahusika Kwenye ‘Mjengo’...

Post Image

Mkali wa muziki wa singeli Bongo, Man Fong amemtaja msanii mwenzake wa bongo fleva na bongo movie, Shilole a.k.a Shishi Trump kuhusika katika ujenzi wa nyumba yake ambayo anataraji kuijenga wakati wowote kutoka sasa. Man Fongo aliyekuwa katika mahojiano kwenye kipindi cha Ujenzi cha EATV, amesema mtu pekee aliyemuhamasisha kujenga nyumba ni Shilole, na hiyo […]

Read More..

Video: Show ya Diamond Kwenye Ufunguzi wa A...

Post Image

Jumamosi hii Diamond Platnumz na dancers wake, akishirikiana na wasanii wengine akiwemo Mohombi na Lumino, walitumbuiza kwenye ufunguzi wa kombe la AFCON 2017 nchini Gabon. Tazama video hiyo chini.

Read More..

‘Latifa Mwehu’ Kuingia sokoni Jumatatu

Post Image

Latifa Mwehu ni filamu inayowakutanisha wakali wa Bongo Movie, Aunt Ezekei, Stanley Nsungu, Swebe,Tea,Maya na Haji Adam itakayoingia sokoni jumatatu ya wiki ijayo. Sikuwahi kuwaza hata siku moja kama maisha yatakuja nibadilikia hivi,Nilijua kuoa ndio nia ya kuondoa maovu niliyopiti kumbe ndio kwanza nilimfungulia shetani njia ya kunishawishi zaidi .Pole sana mke wangu maana sikuwahi kuwa […]

Read More..

Joti: Nakuja Kidigitali Zaidi

Post Image

UKUMUANGALIA tu lazima ucheke kwani ni kipaji na sio ngekewa, amefanikiwa kuteka watoto, vijana, watu wazima na wazee hiyo yote ni kutokana na kuigiza nyanja zote tena bila wasiwasi wowote ule, Lucas Mhavile maarufu Joti alitamba na Original Comedy kundi ambalo lilitoa burudani kwa muda wa miaka 11 bila kuwa na mpinzani katika angaza za […]

Read More..

Lulu Afunguka Juu ya Alikiba na Ommy Dimpoz

Post Image

Msanii wa filamu nchini Lulu Michael ambaye wiki hii alikuwa akitangaza kipindi cha ‘NgazKwaNgaz’ alifunguka na kuweka wazi kuwa msanii Ommy Dimpoz na Alikiba ni watu ambao wamekuwa wakifanya vizuri kila wanapokutana. Lulu Michael alidai kuwa wakali hao wa bongo fleva wamekuwa wakifanya vyema kila walipokutana na kutengeneza kazi nzuri ambazo zinapendwa na watu.   […]

Read More..

Martin Kadinda: Wema Amebadilika Hadi Raha

Post Image

ALIYEKUWA Meneja wa Mrembo wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Martin Kadinda, amempongeza mwanadada huyo kwa kubadilisha mfumo wa maisha yake. Akizungumza na MTANZANIA jana, Martin alisema kitendo cha Wema kufuta picha zake kwenye mitandao ya kijamii na kubadili tabia za kuweka wazi maisha yake ni hatua ya kupongezwa. “Uamuzi alioufanya Wema ni hatua nzuri […]

Read More..

Ray Ashangaa Chuchu Kujifungua!

Post Image

KITUKO! Wakati pongezi za kufa mtu zikielekezwa kwa muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ kupata mtoto wa kiume kwa mchumba’ke, Chuchu Hans, muigizaji huyo ameibuka na kushangaa watu wanaoeneza habari za kujifungua kwa Chuchu wakati si kweli kama amejifungua. Ray alitoa kioja hicho Alhamisi iliyopita wakati akizungumza na Risasi Jumamosi baada ya kupigiwa simu ili kumpongeza kwa […]

Read More..

Sababu za Weusi Kuficha Wapenzi Wao Yafichu...

Post Image

Rapa Nikki wa Pili kutoka katika kundi la Weusi amefunguka na kuweka wazi sababu ambazo zinawafanya wao kama Weusi kutoweka wazi maisha yao binafsi ikiwepo maisha ya mapenzi na maisha ya kawaida ya kila siku Akionge kwenye kipindi cha Planet Bongo Nikki wa Pili amesema wamekuwa wakificha maisha yao binafsi kwa sababu hawahitaji familia zao […]

Read More..

Gabo Aushukia Mtandao Huu wa Kenya

Post Image

Muigizaji anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Gabo Zigamba ameujia juu mtandao mmoja wa Kenya ambao umedai kuwa yeye ni raia wa Kenya. Muigizaji huyo baada ya kuona taarifa hiyo, kupitia instagram aliandika: Kinachoweza kuondoa makucha haya ya majirani ni film tuu. Film is the best method of propaganda spreading. Na ili tufikie hapo ni […]

Read More..

Lulu Aifungukia Video ya Darassa, Aipa Namb...

Post Image

Msanii wa Filamu nchini Elizabeth Michael ambaye amekuwa msanii wa kwanza kufungua kipindi cha ‘NgazKwaNgaz’ mwaka 2017 ametaja video zake 20 ambazo zilimkosha sana na kumfurahisha mwaka jana. Katika ngoma 20 zilizofunga vizuri mwaka kwa Lulu Michael wimbo wa Darassa ‘Muziki’ ndiyo umekamata nafasi ya kwanza. Lulu anadai kwa mara ya kwanza alipoiona video hiyo […]

Read More..

Matonya Ajigamba Kumbadilisha Gigy Money

Post Image

STAA kitambo kunako Muziki wa Bongo Fleva, Seif Shaban ‘Matonya’ amejitamba kumbadilisha tabia modo mwenye mbwembwe nyingi, Gift Stanford ‘Gigy Money’ kupitia wimbo wake wa Hakijaeleweka. Akizungumza na Global TV Online kupitia kipindi cha Exclusive, Matonya ambaye aliwahi kuwika pia na vibao kibao kama Teksi Bubu, Vaileth na Anita alisema kuwa, mashabiki wengi wa Gigy […]

Read More..

Ujauzito Feki wa Nisha Wamsababishia Haya

Post Image

Mcheza filamu maarufu katika soko la filamu Bongo Movie, Salma Jabu, maarufu kama Nisha Bebee amejipotezea uaminifu mtaani anapoishi na jamii nzima inayomzunguka kwa kitendo cha kuudanganya umma mwishoni mwa mwaka 2016. Nisha aliibuka na kudai kuwa ni mjamzito na ujauzito huo aliupata kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Fleva kwa kubakwa. Habari ya […]

Read More..

Emmanuel Mbasha Asema Bado Anamuhitaji Mke ...

Post Image

Mume wa mwanamuziki wa Injili Flora anayefahamika kwa jina la Emmanuel Mbasha amefunguka na kuweka wazi kuwa amekuwa akihangaika sana kuhakikisha mkewe huyo anarudi nyumbani na kuendelea kuishi kama zamani lakini jitahada zake zimegonga mwamba. Emmanuel Mbasha akiongea kwenye kipindi cha eNEWZ alisema kuwa toka mkewe huyo ameanzisha songombingo hilo yeye alikuwa anahitaji mambo hayo […]

Read More..

JB Amvuta Muigizaji wa Zambia ‘Cassie’

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu na Mkurugenzi wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephan ‘JB’ amemvuta muigizaji maarufu wa Zambia Cassie Kabwita kwa ajili ya kushiriki katika tamthilia yake mpya ya runinda iitwayo Jirani. King Cassie tayari ameshashiri filamu ya ‘Vita Baridi’ pamoja na ‘Mzee wa Swagga’ akiwa na JB. Wiki hii JB alikutana na muigizaji huyo […]

Read More..

Young Killer Afunguka Ishu ya Joh Makini Ku...

Post Image

Msanii wa rap Bongo Young Killer amemdiss msanii wa Hip Hop Joh Makini kwenye ngoma yake mpya SINA SWAGA akidai kwamba anabebwa kisanaa. Akiongea kupitia eNEWZ Killer amesema aliamua kuwakilisha baadhi ya maneno ambayo yamekuwa yakiongelewa na wasanii wengi ikiwemo Chid Benz ambaye aliongelea kwenye media na  kutunga mistari inayoelezea jinsi gani Joh anabebwa kisanaa. Hata […]

Read More..

Mama Kanumba: Huyu Ndiye Mrithi wa Kanumba,...

Post Image

DAR ES SALAAM: Wakati ikiwa inakaribia miaka mitano tangu  Aprili 7, 2012, ambapo aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, alipoaga dunia, mama yake mzazi Bi. Flora Mtegoa ametembelea kaburini kwa marehemu mwanaye siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake akiwa ameambatana na kijana aliyemuanika kuwa ndiye mrithi wa muigizaji huyo nambari one nchini. Katika makaburi […]

Read More..

Diamond Akabidhiwa Bendera Kuiwakilisha Tan...

Post Image

DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo January 14 2016 amemkabidhi nyota wa Afro Pop, Diamond Platnumz bendera ya Taifa ili kuiwakilisha nchi ya Tanzania kwenye ufunguzi rasmi wa mashindano ya Africa Cup of Nation (AFCON) yanayotarajiwa kuanza nchini Garbon hivi karibuni. Hafla hiyo fupi iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli […]

Read More..