-->

Monthly Archives: January 2017

Ukweli wa Nuh na Shilole Mwanza, Huu Hapa

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye bado anafanya vyema na wimbo wake ‘Jike shupa’ amekanusha tetesi za yeye kuwa pamoja na mpenzi wake wa zamani Shilole jijini Mwanza siku mbili hizi. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, Nuh Mziwanda anasema ni kweli alimuona Shilole Mwanza kwenye club ambayo yeye alikuwa anafanya show na aliambiwa kuwa yupo pale […]

Read More..

Rose Muhando Afungukia Kimya Chake na Tuhum...

Post Image

Muimbaji mashughuli wa nyimbo za injili hapa nchini,Rose Muhando amevunja ukimya na kufuka juu ya ukimya wake na tuhuma za kutumia madawa ya kulevya ‘Unga’. Akiongea na gazeti la mwanaspoti hivi karibuni, Rose anasema, amekuwa kimya kwa sababu mbalimbali lakini anawaambia mashabiki wake yupo na anafanya maandalizi mengine: “Nipo hata hivyo kuna kazi nyingine nimeandaa […]

Read More..

Mzee Majuto Afunguka Kuendelea Kuigiza Mpak...

Post Image

Muigizaji wa filamu za vichekesho nchini Amri Athumani maarufu kama ‘Mzee Majuto’ ambaye mwaka jana aliwahi kutangaza kuacha uigizaji na kumrudia Mungu amefunguka na kusema kuwa ataendelea kuigiza mpaka anakufa kwa sababu uigizaji upo kwenye damu. Akiongea na EATV Mzee Majuto alisema kuwa yeye hawezi kukubali kuona fani inachezewa chezewa na watoto hivyo ataendelea kuigiza mpaka […]

Read More..

Pacha’ wa Harmonize Aangua Kilio Stejini

Post Image

HARMORAPA, msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha wa Harmonize’, juzikati aliangua kilio stejini baada ya kukutana kwa mara nyingine na mkali huyo wa Ngoma za Matatizo, Aiyola na Bado, baada ya kupita muda mrefu bila kuonana. Tukio hilo ‘ameizing’ lilijiri juzikati […]

Read More..

Flora Mbasha Akataa Hadi Jina

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili Flora Mbasha amesema swala la mahusiano na mapenzi ni ya watu wawili hivyo hataki kuweka wazi juu ya ishu yake ya kudai talaka. Akiongea kupitia eNEWZ Flora ambaye amesema anataka kuitwa madam Flora kwa sasa kwa kuwa maisha yake anayoyaishi kwa sasa yana amani na furaha hivyo anapendelea kuishi vile apendavyo […]

Read More..

Shilole Aendeleza Urithi wa Mama Yake

Post Image

UNAJUA biashara ya kupika inalipa kiasi gani? Muulize Zuwena Mohammed (Shilole), kwani kitu hicho ndicho kilichomfanya msanii huyo achukue biashara hiyo aliyokuwa akiifanya mama yake. Shilole aliliambia MTANZANIA kwamba, kama wasanii wasichana wangejua faida ya biashara ya chakula wangewekeza huko kwa kuwa inalipa licha ya kudharaulika na baadhi ya watu. “Naipenda biashara hii kwa kuwa […]

Read More..

TigoApp: Pata Huduma Zote za Tigo Kupitia S...

Post Image

Sasa Tigo inakuletea huduma zote za Tigo kupitia simu yako ya mkononi. Tumia hii huduma sasa kurahisisha maisha yako! #TigoApp  

Read More..

TRA Yatoa Elimu ya Kodi kwa Wasanii wa Fila...

Post Image

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea na mpango mkakati wake wa kuhakikisha inatoa elimu ya kodi na inamfikia kila mdau ili kuwajengea uelewa wa masuala ya kodi na uhiyari wa kuilipa. Hivi karibuni mamlaka hiyo ilikutana na wasanii mbalimbali wa maigizo na muziki ili kuwafundisha kuhusu masuala mbalimbali ya kodi pamoja na umuhimu wa kulip […]

Read More..

Jay Moe: Wasanii Wanaokula ‘Unga̵...

Post Image

Msanii wa hip hop nchini Tanzania Jay Moe au wengine wanapenda kumuita kwa jina la mzee wa pesa madafu amekutana na camera ya eNewz na amezungumzia kuhusu swala la madawa ya kulevya ambalo limekuwa gumzo katika siku za karibuni. Gumzo hilo limekuwa kubwa hasa baada ya picha za aliyekuwa mshiriki wa Big Brother Africa kuonekana naye […]

Read More..

Katibu wa Bodi ya Filamu Bi. Fissoo Amtembe...

Post Image

KATIBU wa bodi ya filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo amemtembelea muandishi wa muswada mwenye kipaji cha ajabu Wankota Kapunda nyumbani kwao Mbezi kwa ajili ya kumtakia heri ya mwaka mpya na kubadilishana naye mawazo kufuatia maandalizi ya utayarishaji wa filamu na tamthilia inayoitwa Uaridi. “Mwaka mpya umeanza ni vema kuwaona wadau wetu na pia nimekuja […]

Read More..

Rich Mavoko: Niko Tayari Kufanya Kolabo na ...

Post Image

LEBO ya Wasafi Classic Baby (WCB) licha ya kukusanya vichwa vya wasanii wakali lakini nyota ya Richard Martin ‘Rich Mavoko’, imeendelea kung’ara ambapo kwa sasa anamake ‘headline’ kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kutokana na ngoma yake ya Kokoro aliyomshirikisha bosi wake, Diamond Platinumz. Ingawa ni miezi kadhaa tu tangu kuachiwa kwa Koko¬ro, […]

Read More..

Q Chief Amwagia Sifa Hizi Mpenzi Wake

Post Image

Msanii wa muziki Q Chief ameshindwa kuzuia hisia zake mtandaoni na kuamua kumwagia misifa mpenzi wake. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo Sungura, amedai mwanamke hiyo ni mwanamke wa pekee kutokana na uvumilivu wake. “Soon tunatimiza miaka miwili katika uhusiano wetu umekuwa mvumilivu mwenye hekima ni wanawake wachache sana dunia hii wenye moyo wa […]

Read More..

Baba Haji Afungukia Swala la Rushwa ya Ngon...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Haji Adam a.k.a Baba Haji amekiri rushwa ya ngono kukithiri katika tasnia ya filamu nchini huku akiweka wazi kuwa kwa upande wake hajawahi kuomba wala kukubali rushwa hiyo kwa hofu ya maradhi. Msanii wa filamu nchini, Haji Adam a.k.a Baba Haji amekiri rushwa ya ngono kukithiri katika tasnia ya filamu nchini […]

Read More..

Picha: Maselle “Chapombe” Afunga Ndoa

Post Image

Msanii wa siki nyingi wa vichekesho aliyejipatia umaarufu katika kundi la vituko show kwa style yake ya kuigiza kama mlevi, Chrispine Lyogello “Masele” ameaga ukapela baada ya kufunga pingu za maisha na mchumba wake wa siku nyingi Specioza Malick katika kanisa Katoliki, Bikira Maria Consolata lililopo Mbezi Makabe jijini Dar es salaam. Hizi ni baadhi […]

Read More..

Alikiba Atoa Ratiba ya Tour ya Marekani

Post Image

Muda mfupi baada ya kutangaza tour yake ya Afrika Kusini, itakayoanza mwezi ujao, mkali wa bongo fleva Alikiba, ametangaza ratiba ya tour nyingine ya Marekani. Mkali huyo atatumbuiza katika miji ya Las Vegas, Austin, Houston, Minneapolis na Minnesota. Ziara hizo zitaanza March 4 hadi April.

Read More..

Gigy Money, Lulu Diva, Amber Lulu… Bongo ...

Post Image

MFUMO dume uliminya vipaji vya watoto wa kike kuchanua kwenye Bongo Fleva na kufanya wawe bidhaa adimu licha ya kuwa na uwezo wa kufanya kile wasanii wa kiume wanafanya. Lakini mwaka 2016 tulishuhudia hali hiyo ikitoweka na wasanii wa kike wakiongezeka kwa kasi na wengine wakitoka kwenye tasnia za filamu na utangazaji na kuingia kwenye […]

Read More..

Sikumfukuza Young D – Max Rioba

Post Image

Aliyekuwa mlezi na meneja wa Rapa Young D, Maximilian Rioba amefunguka na kuweka sawa kuwa yeye hakumfukuza Rapa huyo nyumbani kwake bali alimwambia tu aondoke kwani walishindwana kibiashara kutokana na utovu wa nidhamu. Maximilian akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live alisema sababu kubwa iliyompekelea kushindwana kibiashara na Young D ni kutokana na msanii huyo […]

Read More..

Yamoto Band Watoka Mafichoni

Post Image

Mhe. Temba ambaye ni msanii na kiongozi wa kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi mipango ya kundi hilo na kusema wapo tayari kuachia kazi mbili za Yamoto Band ndani ya siku mbili zijazo. Akizungumza na eNEWZ Mh Temba amesema alikuwa na mpango wa kuachia kazi yake lakini inabidi asubiri kwanza Yamoto Band watoe kazi […]

Read More..