Nay wa Mitego ni Mtoto Mdogo Kwangu Kisanaa...
ZUBERY Mohamed ndio jina lake alilopewa na wazazi wake lakini katika filamu anajulikana kama Niva super Mario msanii huyu ambaye ni mwigizaji na mwanamuziki wa kizazi kipya anaibua malumbano na msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ney wa Mitego na kusema kuwa ni mdogo katika sanaa. “Unajua kwa wale wasiomjua Ney wa Mitego ndio wanamhofia […]
Read More..