Muigizaji Da Zitta Anusurika Kifo Katika Aj...
AKIWA katika harakati za kukamilisha filamu yake mpya ya ‘Nuru’ muigizaji, Zitta Matembo maarufu kwa jina la Da Zitta amenusurika kifo katika ajali ya gari akiwa anaelekea nchini Kenya kwa maandalizi ya filamu hiyo. Muigizaji huyo aliyetamba katika filamu ya ‘Gundu’ aliyomshirikisha Anty Ezekiel mwanzoni mwaka huu alifiwa na baba yake mzazi, Fidelis Hokororo Matembo […]
Read More..