Matonya Atua kwa Gigy
Baada ya fununu kuzagaa kuwa kwa sasa Giggy Money ameiparamia ndoa ya Matonya na imekua ni mwendo wa kunyweshana supu tu, wawili hao wamefunguka juu ya ishu hiyo. Akizungumza na eNewz Matonya hakutaka kufunguka wazi kuwa ameshaonja supu ya Gigy,na huku Gigy akisema wazi kuwa mpaka sasa msanii huyo kashakunywa kabisa supu yake ingawa inafahamika […]
Read More..