Wema Atumia Zaidi ya Milioni Moja Kutengene...
Staa wa bongo Fleva, Wema Isaack Sepetu, ameweka wazi kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya kutengeneza nywele zake kwa wiki moja. Pia hutumia Sh 30,000 ya chakula kwa siku na kama atanunua na chakula cha mbwa wake huwa anatumia Sh 50,000 kwa siku. Hata hivyo, Wema aliliambia MTANZANIA kwamba si kila wakati hutumia […]
Read More..