Sifanyi Muziki kwa Ajili ya Tuzo-Nay wa Mit...
Msanii wa muziki wa bongo fleva Nay wa Mitego ambaye alisumbua sana na wimbo wake ‘Shika adabu yako’ ambao ulifungiwa na Baraza la Sanaa (BASATA) na sasa ameachia wimbo wake mpya ‘Saka hela’ amefunguka na kusema kuwa yeye hafanyi muziki ili kupata au kushinda tuzo. Nay wa Mitego aliyasema haya alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha eNEWS […]
Read More..