Miaka kumi na moja ya Jay Mo bila video
Wakati wasanii wengine wa Bongo fleva wakizidi kutoa video kali ili waendelee kuwa juu katika ‘Game’ ya muziki lakini imekuwa tofauti kwa Rapa Jay Mo kwani ana miaka kumi na moja hajaachia video yeyote. Akizungumza na eNEWS Jay Mo alisema mara ya mwisho yeye kutoa video ya ngoma yake ilikua mwaka 2005 ngoma ambayo aliifanya […]
Read More..