-->

Daily Archives: May 31, 2016

Miaka kumi na moja ya Jay Mo bila video

Post Image

Wakati wasanii wengine wa Bongo fleva wakizidi kutoa video kali ili waendelee kuwa juu katika ‘Game’ ya muziki lakini imekuwa tofauti kwa Rapa Jay Mo kwani ana miaka kumi na moja hajaachia video yeyote. Akizungumza na eNEWS Jay Mo alisema mara ya mwisho yeye kutoa video ya ngoma yake ilikua mwaka 2005 ngoma ambayo aliifanya […]

Read More..

Wastara Kufunga Ndoa Kisiri Kabla ya Ramadh...

Post Image

Katika hali ya Kushitukiza inasemekana kuwa staa wa Bongo Movies Wastara Juma ana mipango ya kufunga ndoa siku za usoni kabla ya Ramadhani.   Mtu wa karibu wa Wastara Juma ambaye Hakutaka jina lake litajwe alimthibitishia muandishi wa footprinttz kuwa ni kweli Wastara anatarajia kuolewa. ” Ni Kweli Wastara anafunga Ndoa Siku Si Nyingi Ila […]

Read More..

Picha: Harmonize Amtambulisha Wolper Ukweni

Post Image

Wikiiliyopita staa anaechipukia kwenye bongo fleva Harmonize alimpeleka mpenzi wake Jacqueline Wolper kwao Mtwara alikoenda kutumbuiza kwa mara ya kwanza tangu aukwae ustaa kupitia label ya WCB. “Time Ya Kumsaidia mama Harmo Kuanda Chakula Cha Usiku Mtwara Life @wolperstylish,” aliandika Harmonize kwenye picha inayomuonesha Wolper akichuma matembele shambani. Naye Wolper alipost picha akiwa na mama […]

Read More..