Beka Atoa Sababu ya Kurudia ‘Aje̵...
Akiongea kwenye PlanetBongo ya East Africa Radio, mkali wa R&B, Beka amesema suala hilo ni jambo ambalo haliwezekani kwani yeye tayari yupo kwenye uongozi, ambao unamsimamia kazi zake. “Suala la kuwa tayari kusainishwa na Alikiba haiwezekani kwa sababu mi nipo kwenye management ambayo nina mkataba nayo, management ambayo imeninulia vifaa vya bendi, na sasa hivi […]
Read More..





