-->

Monthly Archives: June 2016

Beka Atoa Sababu ya Kurudia ‘Aje̵...

Post Image

Akiongea kwenye PlanetBongo ya East Africa Radio, mkali wa R&B, Beka amesema suala hilo ni jambo ambalo haliwezekani kwani yeye tayari yupo kwenye uongozi, ambao unamsimamia kazi zake. “Suala la kuwa tayari kusainishwa na Alikiba haiwezekani kwa sababu mi nipo kwenye management ambayo nina mkataba nayo, management ambayo imeninulia vifaa vya bendi, na sasa hivi […]

Read More..

Rammy Apata ‘Shavu’ Hili Ghana

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Rammy Galis ‘Pacha wa Kanumba’ amezidi kula mashavu katika Tasnia ya Filamu Ghana na hivi karibuni anatarajiwa kudandia pipa kuelekea nchini humo kwa ajili ya kugonga filamu nyingine na dairekta maarufu nchini humo anayejulikana Afrika nzima. Akichonga na gazeti hili Rammy Galis alisema filamu alizofanya na wasanii kutoka Ghana na Nigeria […]

Read More..

Steve Nyerere Awapongeza Harmonize na Iyobo...

Post Image

Kiongozi wa zamani wa Bongo Movie Unit,  Steve Nyerere amempongeza msanii wa muziki, Harmonize pamoja na dancer wa Diamond, Mosei Iyobo kwa kuwapa utulivu wasanii wenzake wa filamu Aunt Ezekiel na Jacqueline wolper. Muigizaji huyo ambaye alikuwa MC katika iftar ya GSM iliyofanyika Kigamboni weekend hii na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali, alisema anawashukuru wasanii hao […]

Read More..

Quick Rocka: Siteseki na Penzi la Kajala

Post Image

MSANII anayekimbiza katika Tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva, Quick Rocka amedai kuwa penzi la muuza sura kwenye Filamu za Kibongo, Kajala Masanja halimtesi maana ni la kishkaji na kila mmoja kati yao ana uhuru wa kufanya mambo yake binafsi kutokana na matakwa yake bila kumbana mwenziye. Akipiga stori na safu hii ya burudani Quick […]

Read More..

Linah Akanusha Kutoka Kimapenzi na Billnas

Post Image

Msanii wa bongo fleva Linah Sanga ambaye siku za karibuni amekiri wazi kuwa mapenzi yamemuathiri katika kazi yake ya sanaa na kufanya watu kufuatilia zaidi maisha yake ya mahusiano kuliko kazi zake amefunguka na kuweka sawa kuwa hatoki kimapenzi na msanii Billnas. Kupitia kipindi cha eNEWS tulitaka kufahamu ukaribu uliopo kati ya Linah Sanga na Billnas […]

Read More..

Nisha Amjibu Wolper

Post Image

Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameibuka na kumjibu mwigizaji mwenzake, Jacqueline Wolper Massawe kuwa hajawahi kutaka ‘kiki’ za kijinga wala ugomvi na anachoangalia yeye ni biashara na maisha yanaenda. Nisha aliliambia Wikienda kuwa ameshangazwa na habari zinazozagaa mitandaoni baada ya yeye kuweka picha za wasanii wanne kisha msanii mwenzake, Wolper kuanza […]

Read More..

Muhogo Mchungu Alia na Mitandao

Post Image

Msanii mkongwe wa maigizo nchini Muhogo Mchungu amelalamikia watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa vijana kwa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Muhogo Mchungu ameyasema hayo katika mahojiano na Enews na amewataka wazazi wajiunge na mitandao hiyo ya kijamii ili waweze kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao hiyo kwa kufuatilia matumizi ya watoto wao. Muhogo alisema kuwa […]

Read More..

Nedy Music na Tabia za Ommy Dimpozi

Post Image

SAID Seif ni mmoja wa wasanii wanaokuja vizuri katika muziki wa kizazi kipya ambaye jina lake maarufu ni Nedy Music. Huyu ni msanii anayewakilisha kundi la Pose kwa Pose (PKP) linalomilikiwa na mkali wa mapozi, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’. Wimbo wa ‘Usiende Mbali’ alioshirikiana na bosi wake, Ommy Dimpoz, ndio unaomtambulisha vema katika muziki wa […]

Read More..

Jb Awashukia Wasanii Wenzake Kuhusu Hili!

Post Image

JACOB Stephen ‘JB’ msanii mahiri katika tasnia ya filamu Bongo amewashukia wasanii wenzake kwa kusema kuwa wengi hawapo makini na tasnia jambo ambalo linawafanya kupoteza mapato mengi kutokana na tasnia hiyo bila sababu. Ukweli ni kwamba wasanii wengi hawapo serious na kazi kitu kinachofanya tukose pesa kwenye filamu, na ukitaka kutambua hilo angalia page zao […]

Read More..

Malaika Akiri Kutengana na Mpenzi Wake

Post Image

BAADA ya kufanya siri kwa muda mrefu, staa wa Ngoma ya Raruararua, Diana Exavery ‘Malaika’ amekiri kwa mara ya kwanza kuwa hayupo tena na mpenzi wake, Eddy ndiyo sababu hata ya kufikia hatua ya kuondoka walipokuwa wakiishi pamoja Kunduchi jijini Dar. Akizungumza katika mahojiano mafupi na Over Ze Weekend, Malaika ambaye awali alikuwa akisimamiwa na […]

Read More..

Video ya ‘Jike Shuka’ Yamtoa Povu Shilo...

Post Image

Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake huyo, Shilole ameonyesha kukasirishwa na kazi hiyo. Nuh amethibitisha kwamba Shilole ndiye aliyemuimbia kwenye wimbo huo, kwa kumtumia video queen anayefanana na Shilole kama pacha katika video ya wimbo huo. Sholole baada […]

Read More..

Tigo yatoa ofa ya simu za bure katika kuham...

Post Image

Tigo yatoa ofa ya simu za bure katika kuhamasisha wateja kuhusu simu bandia 0 Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza ofa mpya ambayo watumiaji wote wa simu ambazo ni bandia watapata simu halisi kila watakapotembelea duka la huduma kwa wateja la Tigo kubadilishwa simu hizo. Mradi huu unalenga kuwawezesha Watanzania kupata simu halisi kutokana na ukomo […]

Read More..

Mwimbaji wa Injili, Goodluck Gozbert Afung...

Post Image

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Goodluck Gozbert ameeleza kwamba mashairi ya nyimbo zake huwa yanaeleza maisha yake. Akizungumza katika kipindi cha Clouds360, mwimbaji huyo ameeleza kwamba yeye alizaliwa katika familia masikini na kulelewa katika mazingira magumu sana baada ya baba yake kufariki. Mtunzi huyo wa kibao maarufu cha ‘Acha Waambiane’ amezindua wimbo mpya unaoitwa ‘Ipo […]

Read More..

Young Killer Afunguka Kuhusu Kufanya Kazi n...

Post Image

Msanii Young Killer Msodoki amefunguka kuhusu suala la yeye kujiunga na lebo ya WCB, na kuwataka mashabiki watambue kuhusu ukweli wa suala hilo. Akiongea kwenye kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV na kutolea ufafanuzi picha aliyopiga na Diamond na kuibua tetesi hizo, Young Killer amesema yeye ni msanii hivyo iwapo kutakuwa na haja ya kufanya […]

Read More..

Wastara Adaiwa Kunasa Ujauzito

Post Image

Exclusive! Habari mpya ya motomoto ni kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amenasa ujauzito, Risasi Jumamosi linakuwa la kwanza kukupa mchapo huu! Ujauzito huo ni wa aliyekuwa mumewe, Sadifa Juma, mbunge wa Jimbo la Donge, Visiwani Zanzibar ambapo kitendo cha mimba hiyo kuwa ya mbunge, kimemsumbua Wastara hadi kuamua kuondoka ili akapate muda […]

Read More..

Nuh Mziwanda Afunguka Kuhusu ‘Jike Sh...

Post Image

Msanii wa Bongo Flava Nuh Mziwanda amesema kuwa ngoma yake mpya ya JIKE SHUPA hajamuimbia mtu yeyote mahususi kama inavyodaiwa na baadhi ya wapenzi wa muziki wa kizazi kipya nchini. Nuh amefunguka hayo jana usiku katika kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV alipokuwa akiizindua rasmi video yake hiyo ya JIKE SHUPA ambayo kwa mara ya […]

Read More..

Rais Amefanya Mabadiliko Baraza la Mawazir...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri huku akimteua Mbunge wa Buchosha Dk. Charles Tizeba kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Kufuatia uteuzi huo, aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba ameteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Nchemba anachukua […]

Read More..

Nisha na Wolper Wavutana, Kisa Hiki Hapa

Post Image

Mastaa wa bongo muvi, Salma Jabu ‘Nisha’ na Jacqueline  Wolper wamejikuta wakivutana mtandaoni baada ya Nisha kuandijka kitu ambacho Wolper alijibu na kusababisha Nisha kuibuka tena na kutoa ufafanuzi. Nisha aliandika haya; kwenye hicha hii “Mmoja kati ya hawa amejaa kwenye galary ya simu yangu na moyoni mwangu,otea A B C AU D? enhe.  he???sa […]

Read More..