-->

Monthly Archives: June 2016

Cathy Awaka Kukimbiwa na Mume

Post Image

MWANAMAMA kutoka katika kiwanda cha filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amewatemea cheche wanaomsengenya kuwa amekimbiwa na mumewe hivyo kuwataka wamuache kwani hawezi kuachwa kamwe. Akizungumza na GPL, Cathy alisema tangu mumewe ahamie kikazi Zanzibar maneno yamekuwa mengi sana kutoka kwa watu wake wa karibu kwamba ameachwa kitu ambacho siyo kweli kwani wako vizuri na mambo […]

Read More..

Quick Racka Afunguka Haya Kuhusu Yeye na Ka...

Post Image

Mkali wa Bongo fleva Quick Racka amefunguka juu ya uhusiano wake na msanii wa Bongo muvi Kajala Masanja. Akizungumza na Enewz Quick Racka alisema kuwa yeye na bongo muvi star huyo ni washikaji wa karibu sana na urafiki wao una miaka miwili sasa, huku kila mtu akiwa na kazi zake. “Tunashauriana yaani kama washikaji na […]

Read More..

Dude Ajuta Kutofunga Ndoa

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa anajuta kutofunga ndoa na mkewe, Eva kwani anateseka sana kipindi hiki cha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Akistorisha na gazeti hili, Dude alisema kutokana na sheria za dini ya Kiislamu kwamba hairuhusiwi mwanaume kupikiwa futari na mwanamke anayeishi naye tu bila kufunga ndoa, amekuwa akiteseka […]

Read More..

Yusuph Mlela Apata Dili Hili Kenya

Post Image

Msanii wa Bongo Movie,Yusuph Mlela amefunguka juu ya dili lake la nchini kenya. Akizungumza na Enewz Mlela amesema kuwa anashukuru Mungu kwakuwa hiyo ndiyo nafasi kwake katika kuiwakilisha nchi yetu. “Project yangu ya Kenya imenipa Exposure kubwa sana kiasi kwamba imenitanua katika kila kitu na watu wategemee kitu kikubwa zaidi”, amesema Mlela huku akiongezea kuwa […]

Read More..

Mama Wema Afunguka Kupigana na Watu Kumtete...

Post Image

Mama yake Wema Sepetu, Mariam Sepetu amefunguka na kueleza jinsi anavyoumizwa na stori za uongo kuhusu mwanae ambazo zimekuwa zikiandikwa katika magazeti ya udaku. Akizungumza katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV Alhamisi hii, Bi Mariam amesema amekuwa akigombana mara kadhaa na baadhi na viongozi wa magazeti ya udaku kuhusu stori za uongo. “Naumia […]

Read More..

Chege Awapa Makavu Hawa, Wanaoiamishia Rama...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Chege Chigunda amefunguka dhidi ya watu wanaouhamishia mwezi wa Ramadhan katika mitandao ya kijamii. Akizungumza na Enewz Chege alisema kuwa kwa Bongo watu wanakuwa wanapoteza maadili ya dini kwasababu siku hizi miezi hii ya Ramadhani imehamia instgram kitu ambacho wengi wanakosea. “Funga siyo kujikwida sijui manini sijui kufunga ni imani na […]

Read More..

Wasanii Watoa ya Moyoni Bajeti ya Sh Bilion...

Post Image

WAKATI Serikali ikitenga Sh bilioni 3 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya sanaa, ubunifu, utamaduni na michezo zitakazotumika kuratibu na kusimamia uanzishwaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Sanaa na Ubunifu, wasanii wa fani mbalimbali wameeleza mitazamo yao kuhusu bajeti hiyo. Wasanii hao kwa mitazamo yao wamezungumzia namna ambavyo fedha hizo zimeelekezwa kusimamia urasimishaji wa […]

Read More..

Shamsa: Napenda Sana Nguo za Ndani za Mtumb...

Post Image

Licha ya baadhi ya mastaa kudai wanavaa nguo spesheli tu, tena zile zilizofungwa kwenye nailoni, staa wa filamu Bongo Shamsa Ford amefunguka kuwa, yeye huwa anapendelea kuvaa nguo za mitumba zikiwemo nguo za ndani ‘makufuli’.   Akizungumzia nguo anazopenda kuvaa, mdada huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwaye Terry alisema, kuna mtu huwa anampelekea […]

Read More..

Nay Aamua Kuwachana ‘Wakwaruaji’...

Post Image

Star wa Bongo Fleva Nay wa Mitego bado anaendelea kuwapa makavu live wasanii wa Bongo Muvi hasa wakwaruaji wanaosubiri vijana wa bongo fleva wawe juu ndipo watokenao kimapenzi. Akizungumza na Enewz Nay alisema kuwa wadada wenye tabia hizo Bongo Muvi wanajulikana na kuwataja baadhi yao kuwa ni pamoja na Jackilin Wolper, Salma Jabu ”Nisha” na […]

Read More..

Danny Msimamo: Vinega na Anti Virus Imebadi...

Post Image

Msanii wa Hip Hop wa hapa bongo Danny Msimamo, amesema game la muziki sasa hivi limebadilika tofauti na zamani, ambapo sasa muziki unaingiza pesa nyingi kwa wasanii. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, Danny Msimamo amesema hatua hiyo imesababishwa na harakati za kutetea haki zao na kuendeshwa kwa kampeni mbali […]

Read More..

Gigy Money: Naangalia Pesa Kabla Sijamkubal...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva na video queen, Gigy Money amesema kuwa anaangalia pesa kabla hajamkubali mwanaume. Akiongea na Times FM, Gigy Money alisema, “naangalia pesa kabla sijamkubali mwanaume, unajua kuwa na mtu maskini inaleta stress tu, napenda pia wanaume wazuri,” alisema. Gigy ametokea kupata umaarufu kutokana na maisha yake controversial. Bongo5 NUNUA FILAMU KUTOKA STEPS […]

Read More..

Baada ya Miaka Miwili, Rose Anarudi na ‘A...

Post Image

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu Swahilihood Rose Ndauka baada ya kuacha kushiriki kazi za watayarishaji wengine amesema kuwa amerudi katika fani hiyo na kazi yake ya Angela ambayo ni kazi yake mwenyewe kwani alisema kuwa hawezi kushiriki filamu za wengine na amefanikiwa. “Nimeweza kukaa zaidi ya miaka miwili bila kushiriki kazi ya mtayarishaji mwingine […]

Read More..

Picha: Young D Akwidwa, Atiwa Mbaroni

Post Image

Kimemnukia! Mbongo Fleva, David Genzi ‘Young D’ amejikuta mikononi mwa askari wa Kituo cha Polisi Urafiki, Ubungo jijini Dar madai yakiwa kuharibu simu na kushambulia mwili, Amani lina kila kitu. Ilidaiwa kuwa, katika siku za karibuni, msanii huyo alimshambulia mrembo aliyejulikana kwa jina moja la Nasra lakini pia aliharibu simu yake yenye thamani ya shilingi […]

Read More..

Rich Mavoko:Kuna Msanii Mkubwa Alinikataza ...

Post Image

Msanii Rich Mavoko ambaye sasa yupo chini ya Label ya WCB Wasafi amefunguka na kusema kuwa wakati tetesi za yeye kwenda kujiunga na label ya WCB Wasafi zimeenea kuna msanii mmoja mkubwa wa bongo fleva alimtumia ujumbe na kumwambia anaanzaje kwenda kusimamiwa kazi na msanii Diamond Platnum. Rich Mavoko amesema hayo leo kwenye kipindi cha Planet […]

Read More..

Baby Madaha Awashangaa Waigizaji wanaotona ...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’, ameibuka na kudai kwamba anashangazwa na waigizaji wa kike waliopo katika mapenzi na wanaume wa umri mdogo. Baby Madaha ambaye ameolewa na Mwarabu wa Dubai, amesema tabia ya wasanii wenzake kuwa na wanaume wenye umri mdogo maarufu ‘Serengeti Boys’ unafedhehesha na haiwasaidii chochote zaidi ya […]

Read More..

Snura: Majanga Ilinipa Majanga

Post Image

STAA wa Muziki wa Kizazi Kipya, Snura Mushi ambaye alipata kiki ya aina yake kwa kibao chake cha Majanga, amefunguka kuwa licha ya kupata shoo nyingi kupitia ngoma hiyo, lakini pia alipata majanga kwa kutapeliwa mara kadhaa. Akipiga stori na Risasi Vibes, Snura alisema promota mmoja alimpeleka kufanya shoo mkoani Kilimanjaro na Mererani Arusha, lakini […]

Read More..

Nisha Awahofia Wakware kwa Mtoto Wake

Post Image

MSANII anayefanya vizuri katika filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefungukia hofu aliyonayo kwa mwanaye, Ipsium kutokana na wanaume wakware kuzidi kuongezeka kila siku. Akichonga na Risasi Vibes, Nisha alisema hata akiwa na ‘boyfriend’ wake, huwa hapendi amzoee mwanaye huyo, kwani anamlea katika maadili ya kidini zaidi na anamshukuru Mungu anazingatia vile anavyotaka. “Mwanangu yuko darasa […]

Read More..

Rich Mavoko: Afunguka Kuhusu Kufikisha Muzi...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Rich Mavoko ambae amesain mkataba na WCB-WASAFI hivi karibuni na sasa ngoma zake zote zitatoka chini ya lebo hiyo na kusema kuwa wasani wanaweza kufanya kazi pamoja na kuufikisha muziki wa Bongo sehemu fulani. ‘’Nimependa sana nilivyosaini na inaonekana kabisa vijana tunaweza kufanya kazi pamoja na kufanya muziki wetu kufika sehemu […]

Read More..