Master Jay: Tulikuwa Wapenzi Miaka 10 Bila ...
MTAYARISHAJI wa muziki nchini, Joseph Kimario ‘Master Jay’, amesema alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na msanii Sarah Kaisi, ‘Shaa’ kwa miaka 10 bila kuweka wazi. Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Master Jay alisema walikuwa katika mapenzi ya siri kwa muda wote huo hadi walipoamua kuweka wazi hivi karibuni baada ya watu kuhisi uhusiano wao. “Nilimpenda […]
Read More..





