-->

Monthly Archives: August 2016

Tamthilia ya Siri za Familia Kuingia Sokoni...

Post Image

Familia nyingi zina siri ingawa zinatofautina, Siri zinaweza kuhusiana na miiko, ukatili, mahusiano, magonjwa, uhalifu,mauaji, ubakaji. Jambo lolote ambalo mtu au famila inadhani linaweza kuleta tafarani,linafanywa siri. Hata hivyo hakuna siri ya watu wengi au ya muda mrefu kwani hatimaye hufichuka je nini hutokea pale? Tamthiliya Ya ” Siri za Familiya ” Inakuja katika mfumo […]

Read More..

Snura Adai Kusumbuliwa Sana na Wanaume Hawa

Post Image

Msanii wa muziki Snura Mushi alimaarufu kama Snura Majanga amefunguka na kusema kuwa amekuwa akipata shida sana na wanaume mbalimbali wenye matamanio kutokana na vile anavyoweza kutumia mwili wake kwenye uchezaji wake akiwa stejini. Snura alizungumza haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kuwa licha ya kupata usumbufu huo kwa […]

Read More..

Wastara Amnasa Kigogo Morogoro

Post Image

IMEVUJA! Safari za mara kwa mara mkoani Morogoro, zinazofanywa na staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma zinadaiwa kuchangizwa baada ya kumnasa kigogo mmoja mkoani humo. Chanzo makini kililiambia Risasi Mchanganyiko kuwa muigizaji huyo amempata mfanyabiashara na kiongozi wa serikali mkoani humo, kitu kinachomfanya afanye safari zaidi ya mara nne kwa mwezi. “Yaani siku hizi […]

Read More..

Kajala Afunguka Sababu ya Kwenda Gym

Post Image

Msanii wa filamu na Mama wa mtoto mmoja, Kajala Masanja amesema haendi gym ili kutafuta ‘shape’ ya mwili wake kama baadhi ya watu wanavyodhani. Mwigizaji huyo ambaye ameachia filamu mpya ‘Sikitu’ hivi karibuni, amesema anaingia gym kufanya mazoezi ili kukabiliana na tatizo la moyo. “Hapana shape tayari ninayo alinipa Mungu, labda naiongezea kidogo tu, nafanya […]

Read More..

Harmonize Afukungia Kuhusu Kuchunwa Pesa na...

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo Flava anayesimamiwa na Wasafi, Harmonize, amekanusha kuchunwa pesa na mpenzi wake Jackline Wolper kutokana na mwanamke huyo kuonekana kuwa na maisha ya kifahari. Harmonize amekanusha hayo mbele ya camera ya eNewz kwa kusema “Nyumbani kwa Wolper kuna kaunta ambayo anaweza kunywa vinywaji atakavyo, pia sioni sababu ya mimi kupendeza na mwanamke wangu […]

Read More..

Mwanaheri Akataa Posa

Post Image

Mwigizaji anayekuja juu kwa kasi kwenye tasnia ya sinema za Kibongo, Mwahaheri Ahmed ‘Mwana’ amefunguka kuwa kufuatia kutokuwa tayari kuolewa, alishatolewa posa mara nane lakini akazikataa zote. Akizungumza na Wikienda, Mwana alisema kuwa hayuko tayari kuolewa kwa sasa hadi akamilishe mipango yake aliyojipangia ndiyo maana hata posa zilivyokuwa zikiletwa kwao hakuwa tayari. “Nilikuwa bado niko […]

Read More..

Siri ya Bill Nas Siri Yangu- Linah

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Linah Sanga amefunguka na kusema kuwa ukaribu alionao na msanii Bill Nas imefanya wao kushauriana mambo mengi kuhusu muziki na nje ya muziki. Linah anasema alikuwa anatamani siku moja apate mtu ambaye ni rafiki yake ili awe anamueleza mambo yake kama ambavyo imekuwa sasa kwake yeye na Bill […]

Read More..

Muigizaji wa Kike Aelezea Maisha Yalivyomf...

Post Image

Kuna wimbi kubwa la wasichana wanaojihusisha na vitendo vya usagaji. Malkiz aka Kizz Kiduku ni msanii chipukizi wa filamu Tanzania anayefahamika wazi kujihusisha na vitendo vya kisagaji. Hivi karibuni alikaa na kuzungumza na Global TV na kusimulia jinsi alivyoanza mambo hayo. Alidai kuwa yote yalianza akiwa shuleni Mwanza ambako kama msichana aliyebalehe alikuwa akipata hamu […]

Read More..

Diamond Akiri Kupenda Bifu

Post Image

Msanii Diamond Plutnuz amewashangaza watu baada ya kauli yake kwamba anaona bifu kwenye muziki na kitu kizuri, tofauti na wasanii wenzake wengi ambao hupinga suala la bifu. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diamond amesema kwake yeye anaona ni sawa tu iwapo wasanii wanakuwa na bifu, kwani inasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua muziki […]

Read More..

Shilole ‘Awaka’ Kisa Kutoka na Jay Moe

Post Image

MREMBO ambaye jina lake liko juu kwa sasa kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ hivi karibuni amewaka baada ya kubanwa maswali juu ya tetesi za uhusiano wake na Mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Juma Mchopanga ‘Jay Moe’. Akistorisha na Uwazi Showbiz, Shilole alifunguka kuwa hana uhusiano na mkali huyo wa ngoma […]

Read More..

Wastara Afunguka Kuhusu Kuwa na Ujauzito

Post Image

Msanii wa bongo movie Wastara Juma apinga mawazo ambayo watu wamekua wanamfikiria kwamba ni mjamzito. Akiongea kwenye kipindi cha eNewz kinacho onyeshwa katika runinga ya EATV kila siku saa kumi na mbili, Wastara amewaambia wananchi kwamba tumbo la mimba hukua na halirudi ndani kwa hiyo waendelee kusubiri miezi tisa mpaka itimie kwani kwanzia waanze kusema […]

Read More..

Kupanda Kwa Miamala ya Simu, Kampuni Zadaiw...

Post Image

Moja habari zilizoandikwa ni hii habari kwenye gazeti la Nipashe yenye  kichwa cha habari ‘Miamala ya simu bei mpya balaa’ Wakati Serikali ikisema uanzishaji wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT), kwenye miamala ya simu na benki haitawahusu wateja, kampeni za simu zimepandisha mara dufu gharama za kutuma na kupokea fedha. Tofauti na benki ambazo zinatoa […]

Read More..

Jimmy Mafufu Apanga Kukimbia Dar

Post Image

Mwigizaji wa Bongo Muvi, Jimmy Mafufu ameibuka na kusema kutokana na gharama ya maisha kuzidi kuwa juu, amepanga kulikimbia Jiji la Dar na kurudi mkoani kwao, Mbeya. Akizungumza na Wikienda, Mafufu alisema kuwa, amegundua jijini Dar kuna kujuana kwingi hivyo ni vigumu kuchomoka kimaisha lakini akirudi kwao kuna fursa nyingi za kimaisha. “Ukweli Dar imenishinda, […]

Read More..

Madee Afunguka Kuhusu Ubosi Bosi Ndani ya T...

Post Image

Msanii Madee leo ameweka wazi mkanganyiko ambao wengi walikuwa nao kuhusu msanii anayemsimamia Dogo Janja, mbaye pia yuko chini ya Tip Top ambayo inamsimamia yeye Madee. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Madee amesema ingawa Dogo Janja yupo chini yake, lakini iwapo kuna kazi anatakiwa kuifanya, lazima afanye mawasiliano na Babu Tale, na […]

Read More..

Diamond Amshukia Wastara

Post Image

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anadaiwa kumtusi staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma baada ya kumuomba msanii wake akarekodie katika studio zake za Wasafi Classic Baby (WCB). Tukio hilo lililopigwa chabo na chanzo chetu lilijiri wikiendi iliyopita katika moja ya studio za runinga ambapo Wastara alikwenda kumpeleka msanii wake aitwaye Ibrahim […]

Read More..

Utafiti:Wanaume 7 kati ya 10 Wana Michepuko

Post Image

Utafiti wa kisaikolojia uliofanywa na mwandishi Christopher Ryan, mwaka 2010 na kuchapishwa katika kitabu kiitwacho Sex at Dawn: The Prehistoric Origins of Modern Sexuality, kimebaini kuwa asilimia 63 ya wanaume na asilimia 45 ya wanawake wamewahi kuwa na uhusiano nje ya ndoa zaidi ya mara moja. Utafiti mwingine Truth About Cheating uliochapishwa mwaka 2014, kuhusiana […]

Read More..

Nisingefunga Ndoa na Chuzi Zaidi ya Kuzaa N...

Post Image

MIRIAM Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka sababu iliyomfanya ashindwe kufunga ndoa na mzazi mwenzake Tuesday Kihangala ‘Mr. Chuzi’ ni wosia kutoka kwa wazazi wake ambao walimwamru kutobadili dini yake ya Kikristu. “Nilishaapa siwezi kubadili dini kwa ajili ya Ndoa hata nilipozaa na Mr. Chuzi kikwazo ilikuwa dini siwezi kupingana na wosia wa marehemu Baba yangu,”anasema Kabula. […]

Read More..

Inside Story: Zimebaki Siku Chache Kuingia ...

Post Image

Fiamu ya kubwa ya Inside Story itaonyeshwa kwa mara ya kwanza kwenye ukumbi wa  CINEPLEX CINEMA, QUALITY CENTER siku ya ijumaa tarehe 19 mwezi huu. Fiamu ya INSIDE STORY imechezwa na mastaa wakubwa wa kimaifa kama Hakeem Kae-Kazim  na Fana Mokoena waliocheza kwenye filamu ya  Hotel Rwanda. Inside Story itasambazwa na Steps Entertainment, Kaa mkao […]

Read More..