-->

Monthly Archives: June 2017

Lowassa Aachiwa kwa Dhamana

Post Image

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa ameachiwa kwa dhamana baada ya kuhojiwa kwa saa nne katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI). Lowassa ameondoka makao makuu ya polisi saa 8.15 na kuelekea nyumbani kwake. Akizungumza baada ya mahojiano hayo, Mwanasheria wa Chadema, Peter Kibatala amesema Lowassa amejidhamini mwenyewe na […]

Read More..

Roma Mkatoliki Akiri Alitelekezwa na Serika...

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Roma Mkatoliki amefunguka na kusema kuwa ingawaje Serikali ilimsaidia mpaka kupatikana kwake kipindi alipotekwa lakini haikumsaidia chochote mpaka kupona kwake. Roma na wenzake wanne ambao walitekwa na watu wasiojulikana mwanzoni mwa mwaka huu na kupata majeraha makubwa kwenye mwili wake amekiri wazi kuwa Serikali haikumsaidia chochote mpaka anapona zaidi […]

Read More..

Hii ya Wolper kumkana Hamornize kali

Post Image

SIKU chache baada ya kusambaa kwa kipande cha video kinachomwenyesha mwigizaji Jackline Wolper, akitoa onyo kuwa anapozungumziwa mwanamuziki, Hamornize, basi yeye asihusishwe kwa kuwa wameshaachana, mlimbwende huyo amezua jipya.   Katika video hiyo Wolper anasikika akisema hataki kuzisikia habari za Harmonize kwani kwa sasa ana maisha yake, sasa bwana kumkana huko wala sio ishu, ishu […]

Read More..

Saida Karoli Atoa ya Moyoni kwa Darassa na ...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa asili, Saida Karoli amewamiminia sifa kibao wasanii wa Bongo Fleva, Ray C na Darassa. Saida ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya Orugambo, amesema hit song ya Darassa ‘Muziki’ ni vigumu kuja kushuka na kuwataka wasanii wengine hasa wa hip hop kuchukulia hilo kama somo. “Wimbo wa Darassa […]

Read More..

Lowassa Aitwa Ofisini kwa DCI

Post Image

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameitwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishna Robert Boaz. Lowassa akizungumza na Mwananchi leo (Jumatatu), amesema ameitwa kwa DCI lakini hajui anachoitiwa. Hata hivyo, amesema anahisi ni kauli yake kuhusu mashehe wa kikundi cha Uamsho cha Zanzibar wanaoshtakiwa kwa tuhuma ya ugaidi. “Ni kweli nimetakiwa […]

Read More..

Kwa Nini Wolper Hakumfariji Zari Alipofiwa ...

Post Image

KUFUATIA wadau mbalimbali kumtuhumu kwamba, hana utu kwa kushindwa kwenda kumfariji rafiki yake, Zarinah Hassan ‘Zari The Bosslady’ hivi karibuni alipofiwa na mzazi mwenzake, Ivan Ssemwanga ‘Don Ivan’ huko Uganda, staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameibuka na kufungukia sababu za kutofanya hivyo. Akizungumza na Wikienda, Wolper alisema kuwa, ulipotokea msiba wa Ivan, […]

Read More..

Kufa Maskini Ujinga – Mzee wa Upako

Post Image

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), Anthony Lusekelo alimaarufu kama ‘Mzee wa Upako’ amefunguka na kusema mtu kufa maskini si jambo la kusifiwa hata kidogo kuwa ni uzalendo bali ni Ufala. Mchungaji Lusekelo amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji wa kipindi cha UJENZI kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana EATV kila Jumapili, Mzee wa […]

Read More..

Gabo Amzungumzia Kanumba na Wema Sepetu

Post Image

Msanii wa Filamu Tanzania, Gabo amesema si kweli tasnia ya filamu imeshuka baada ya kifo cha Steven Kanumba. Muigizaji huyo ameeleza kuwa watu wengi wanaamini kutokuwepo Kanumba kumedhoofisha soko kutokana alikuwa wenye kuleta changamoto ambayo kwa sasa haipo. “Sio kweli industry ipo vile vile, kwa hiyo jamaa alikuwa analeta changamoto kwa wacheza sinema wengi sana […]

Read More..

Okwi Asaini Mkataba wa Miaka Miwili Simba

Post Image

Emanuel Okwi amesaini mkataba wa miaka miwili (2) kujiunga na Simba kuanzia msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara pamoja na mashindano mengine ikiwa ni pamoja na michuano ya Afrika (Caf Confederatio Cup).  

Read More..

‘Urugambo’ Inanikumbusha Mpenzi Wangu &...

Post Image

Mwanamuziki mkongwe wa nyimbo za asili, Saida Kalori, ambaye kwasasa anatamba na wimbo wake mpya ‘Urugambo’ ametoa ya moyoni kuwa wimbo huo unamkumbusha mpenzi wake wa zamani. Saida anasema umaarufu wa wimbo huo umemsababishia kero kwa midume wakware ambao kila kukicha wanampigia simu. Hata hivyo Saida amesema hataki kuwasikia kwani amechoshwa na tabia za wanaume […]

Read More..

VIDEO: Ben Pol Ataja Sababu za Ebitoke kuwa...

Post Image

WAKATI picha zikiendelea kutapakaa katika mitandao ya kijamii kuhusu mkali wa RnB nchini, Bernard  Paul ‘Ben Pol’ kuwa na msanii wa vichekesho Ebitoke, hatimaye mwanamuziki huyo ameamua kufunguka kuhusu jinsi alivyokutana na kuzungumza pamoja na kutaja sifa za msichana huyo kuwa mke wa ndoa .

Read More..

Nay wa Mitego Akomaa na Young Killer Msodok...

Post Image

Baada ya Young Killer kutoa ‘dis track’ aliyoipa jina ‘True Boya’ kumhusu Nay wa Mitego ambaye alimchana kupitia ngoma yake mpya ‘Moto’ Nay ameijibu kwa kukazia alichokiimba kwenye ngoma yake ni ukweli uliopo mtaani kwa mashabiki na wadau wa muziki. Nay amefunguka na kusema kwamba hata diss track aliyoitoa Young Killer ni jingle kwani wimbo […]

Read More..

Tuwe Wasafi wa Roho na Mwili – Lulu

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Elizabeth Michael maarufu kwa jina la Lulu ameoneshwa kukasirishwa na vitendo vya uchafu kwa baadhi ya waumini makanisani. Lulu amesema waumini wawapo makanisani na hata nje wanatakiwa kuzingatia usafi wa mwili na roho kwani kuna muda huwa wanasalimiana wanapokuwa kwenye ibada hivyo kama hawatazingatia usafi huenda ikaleta taabu katika kukamilisha […]

Read More..

Dada Hood; Ilikuwa Bonge la Chemistry Aisee...

Post Image

MOJA ya mradi uliopokelewa vizuri na mashabiki kwenye tasnia ya Bongo Fleva ni ule wa Dada Hood uliotayarishwa na mtangazaji wa XXL ya Clouds FM, Mamy Baby kwa ushirikiano na studio za The Industry. Dada Hood ni project iliyowakutanisha marapa sita wa kike wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva kama vile Cindy Rulz, Pink, […]

Read More..

Niachieni Mume Wangu, Sie Twazidi Kupendana...

Post Image

Staa kutoka tasnia ya filamu Bongo, Riyama Ally, amewatolea povu wanaomfuatilia na kupenda kuchokonoa ndoa yake, kuhusu tofauti ya umri baina yak na mumewe, kwa kusema yeye na mume wake hawaachani ng’oo. Riyama amesema amechoshwa na baadhi ya watu wanaomsakama kila siku kuwa ameolewa na mwanamume mwenye umri mdogo . “Huu ni uamuzi wangu kuolewa na […]

Read More..

Rayvanny Ameshinda Tuzo ya BET 2017

Post Image

Staa wa Bongo Flava, Rayvanny kutoka WCB ameshinda tuzo ya BET kipengele cha Viewers Choice Best New International Act Artist. Alichokiandika Diamond Platnumz baada ya Rayvanny kushinda tuzo ya BET 2017 kama ‘Hatimaye leo Unakuja nayo Tanzania Dah! ?….Zaidi ya miaka mi 3 tunaenda na kurudi Patupu….Hakika Maisha Uvumilivu na kutokata tamaa…. BRING IT HOME […]

Read More..

Diamond Akana Kumuandikia Wema Sepetu Wimbo...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesema si kweli wimbo wake mpya ‘I Miss You’ aliuandika maalumu kwa ajili ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu. Akizungumza na kipindi cha The Playlist cha Times FM, Diamond ameeleza yeye kuandika nyimbo kutokana na hisia alizonazo kwa wakati huo na huangali soko lipo vipi. “Hapana, sio […]

Read More..

Victor Wanyama Apewa Mtaa Ubungo – Dar

Post Image

Meya wa Manispaa ya Ubongo Boniface Jacob, amemtunuku mtaa, Kiungo wa Tottenham ya England Victor Wanyama raia wa Kenya. Jacob ambaye ni Meya akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameonekana kufurahishwa na mchezaji huyo kufika katika eneo lake na kuunga mkono michezo. Hivyo kwa kufurahishwa na namna alichofanya kiungo huyo Mkenya ambaye ni nahodha […]

Read More..