Prof Jay Afunguka Haya Kuhusu Mwana FA, Nik...
Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva, Joseph Haule ‘Prof Jay’ amewataja wasanii ambao wana uwezo wa kuwa viongozi kama wakipewa nafasi na wananchi. “Wasanii wengi wana misimamo mizuri,wana shule lakini nina wasiwasi kama watakuwa na uwezo wa kujitoa kama hivi maana kazi ya ubunge si tu kuona na kutaka kuwa kama […]
Read More..





