VIDEO:Mwana FA Afunguka Haya Kuhusu Mchang...
Mwana FA anataka kuweka mambo clear: Hakuna mtu mwenye mchango mkubwa kwenye muziki tunaofanya kama Profesa Jay. Ameiambia Bongo5 kuwa huo ni ukweli ambao wachache wasiompenda watapinga hadharani lakini mioyoni mwao wana msimamo tofauti. “Mimi binafsi ni heshima ya kipekee kabisa kwa Profesa Jay. Hakuna mtu mwenye mchango mkubwa kwenye aina ya muziki tunaofanya kama […]
Read More..





