-->

Monthly Archives: October 2016

Collabo Yangu na Jay Dee Inakuja – Diamond

Post Image

Baada ya kilio cha muda mrefu kutoka kwa mashabiki waliotamani kuona Diamond Platnumz na mwanadada Lady Jay Dee wakifanya kazi pamoja, wakali hao wa bongo fleva huenda wakaja na ‘collabo’ ya hatari, siku chache zijazo. Hatua hiyo inatokana na msanii Diamond kufunguka kuwa hakuna sababu yoyote inayowakwamisha kufanya kazi ya pamoja, isipokuwa muda na ratiba […]

Read More..

Rose Ndauka Aswekwa Lupango

Post Image

Staa wa Bongo Movie Rose Donatus Ndauka anadaiwa kuswekwa lupango kwa takriban saa nne kabla ya kuchomolewa kwa dhamana. Sosi wetu ambaye ni mtu wa karibu wa Rose alinyetisha kuwa, staa huyo alikuwa kwenye misele na gari lake maeneo ya Kawe jijini Dar ambapo alitanua barabarani hivyo akakamatwa kisha kukaibuka tafrani iliyosababisha kufikishwa kwenye Kituo […]

Read More..

Msaga Sumu: Mimi ndiye mwanzilishi wa Singe...

Post Image

Muimbaji nguli wa muziki wa Singeli, Msaga Sumu amedai kuwa yeye ndiye mwanzilishi wa muziki huo hapa nchini. “Mimi ndiye mwanzilishi wa singeli, nimeipigania sana toka enzi za vigodoro kabla havijapigwa marufuku. Nilikuwa naloop beat za taarabu hadi akina Mzee Yusuph walitaka kunishtaki, nimepigana hadi leo hii imefikia hapa,” amekiambia kipindi cha Friday Night Live […]

Read More..

‘Ngoma Ngumu’ Kuonyeshwa Leo Usiku Ndan...

Post Image

Usipitwe na filamu hii leo saa 3 usiku kupitia Sibuka Maisha channel 111 kwenye startimes utakutana na Irene Uwoya,Dude,Ester Kiama,Haji Adamu na wengine wengi. Pia Jumatatu itapatikana nchi nzima kwenye maduka ya steps entertainment

Read More..

Mpenzi Mpya wa Wema Sepetu Afungukia Penzi ...

Post Image

‘Model’ anayedaiwa kuchukua nafasi ya Idriss kwa kutoka kimapenzi na mrembo Wema Sepetu, amejikuta akiweka hadharani mahaba yake kwa mrembo huyo kwa kutoa maelezo yanayothibitisha kuwa hivi sasa yeye na Wema ni wapenzi. Kijana huyo anayefahamika kwa jina la Calisah, alikumbana na kibano kizito kupitia kipindi cha FNL kinachuruka kila Ijumaa kupitia EATV, pale alipotakiwa […]

Read More..

MTVMAMA2016: Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee...

Post Image

Tanzania imetoka kapa kwenye tuzo za MTV MAMA 2016 zilizofanyika usiku wa Jumamosi hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee, Raymond, Navy Kenzo na Yamoto Band walikuwa wametajwa kuwania tuzo hizo. Wizkid alikuwa man of the night Ulikuwa ni mwaka wa Wizkid aliyeibuka na tuzo nyingi zaidi, ikiwemo ya msanii bora wa mwaka. […]

Read More..

Mastaa wa Kike Kutoka Familia za Mboga Saba

Post Image

NAIJUA familia ya mboga saba? Wengine wanapenda kuwaita watoto wa kishua ama familia bora. Hii ikiwawakilisha watoto wanaozaliwa kwenye familia yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi, kiasi cha kutumia mlo mmoja ukiwa na mboga tofauti na zinazobadilishwa kila uchao. Ndio, kuna familia nyingine bhana mlo unakuwa na mboga moja na huwa ni hiyo hiyo deile mpaka […]

Read More..

Msami Amtolea Povu Barakah The Prince Kuhus...

Post Image

Msanii wa muziki na mwalimu wa dance, Msami Giovani anayefanya vizuri na wimbo wake ‘Step by Step’ amesema Barakah The Prince bado hana nguvu ya kuwa mume wala kuwa mchumba wa Najma. Ametoa kauli hiyo baada ya Barakah kumtukana Msami baada ya kukoment katika akaunti ya Instagram ya Naj. Akiongea na E-News ya EATV, Msami […]

Read More..

Dogo Janja Afungukia Kuoa

Post Image

SIKU chache baada ya Mbongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ kufunga ndoa, mwanamuziki mwenzake, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ (pichani juu) ameibuka na kumpongeza huku akieleza kuwa naye yupo mbioni kufuata nyayo zake. Dogo Janja amefunguka kuwa Tunda Man ameushinda ujana, kitendo kinachomfanya yeye kutamani kufikia hatua hiyo, endapo mambo yataenda vyema, Februari mwakani itakuwa zamu […]

Read More..

Rose Ndauka: Filamu Bongo Hazijashuka

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Rose Ndauka amedai kuwa ni upepo mchafu umepitia soko la filamu nchini na si kama ni kweli filamu zimeshuka thamani kama watu wanavyodai. Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa baadhi ya wasanii wanazidi kujitahidi kufanya vizuri lakini kilichopo kwa sasa ni upepo mchafu umepitia tu. “Huu ni upepo mchafu umepita lakini wasanii […]

Read More..

Simjui Baba Yangu – Rammy Galis

Post Image

Msanii wa filamu nchini Rammy Galis amefunguka na kusema kuwa historia ya wazazi wake kidogo ni changamoto na kudai kuwa katika kipindi chote cha maisha yake hajawahi kumuona wala kuonana na baba yake mzazi.   Rammy Galis alisema hayo kupitia kipindi cha KIKAANGONI kinachuruka LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia […]

Read More..

Lulu Diva, Amber Lulu Hakuna Bifu

Post Image

Muuza sura kwenye video za Kibongo, Lulu Abass ‘Lulu Diva’ (pichani juu) na mwenzake Amber Lulu (pichani chini) hawana bifu lolote isipokuwa kuna watu wana mpango wa kuwagom-banisha. Akichonga na Risasi Vibes, Lulu Diva alifunguka kuwa awali aliposikia kuwa Amber alimpaka matope kwenye ‘interview’ aliyofanya na redio fulani Bongo, alipaniki na kumtafuta ili amueleze kulikoni, […]

Read More..

Nikki wa Pili Aonesha Utofauti Wake na Joh ...

Post Image

Nikki wa Pili ambaye hivi sasa bado anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Sweet Mangi’ amefunguka na kusema kuwa kimuziki kati yake yeye na Joh Makini kwa mtazamo wake yeye anaona kuwa Joh Makini amemzidi mbali sana katika sanaa. Kutokana na hilo, Nikki amewataka watu watambue kuwa Joh Makini ana kipaji kikubwa zaidi yake na […]

Read More..

‘Ustaa Kwenye Tiba ya Dawa za Kulevya Laz...

Post Image

IMEKUWA kama ‘fasheni’ kwa mastaa ambao wanatumia dawa  mbalimbali za kulevya kusikia anapata tiba, anaendelea vizuri na kuja na kazi mpya, lakini baada ya muda unasikia amerudia tena kwenye utumiaji wa dawa na inaaminika kuwa nguvu kazi ya taifa inapotea. Kwanini nasema imekuwa ‘fasheni’, tumeona au kusikia baadhi ya mastaa wameibuka kuwa wanatumia dawa au […]

Read More..

Picha: Alikiba Atua Afrika Kusini Kwenye Tu...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Alikiba ametua nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki kwenye utoaji tuzo za MTV MAMA akiwa na kiongozi wake wa Rockstar4000, Seven Mosha, meneja wake anayetambulika kwa jina la Aidan pamoja na Barakah The Prince. Alikiba ni miongoni kati ya wasanii watakaotumbuiza kwenye tuzo hizo Jumamosi hii ya Oktoba 22 mjini […]

Read More..

Vee Money Afungukia Kukutana na Michelle Ob...

Post Image

Oktoba 11, ilikuwa ni Siku ya Msichana Duniani, ambapo jarida maarufu Marekani, liitwalo Glamour, lilifanya majadiliano maalumu yaliyopewa jina la Brighter Future: Global Conversation On Girls’ Education ambapo ‘first lady’ wa taifa hilo Michelle Obama alizungumza na wasichana duniani kote kuhusiana na umuhimu wa elimu kwa mtoto wa kike kupitia njia ya mtandao. Kwa upande […]

Read More..

Singeli Imenipa Nyumba na Gari – Man Fongo

Post Image

Msanii wa muziki wa Singeli nchini Man Fongo amefunguka na kusema anashangaa mafanikio makubwa ambayo ameyapata ndani ya muda mfupi kupitia muziki wa Singeli hususani kupitia kazi yake ya ‘Hainaga ushemeji’ ambayo imemtambulisha vyema kwa jamii. Man Fongo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya EATV alisema kuwa muziki huo umebadilisha maisha yake ndani ya muda […]

Read More..

Rose Ndauka Azindua Lebo Ya ‘Ndauka Music...

Post Image

STAA wa filamu Bongo,  Rose Ndauka, kupitia kampuni yake ya Ndauka Adverts Ltd, leo amezindua  lebo ya muziki iitwayo Ndauka Music ambayo itatoa fursa kwa wanamuziki nchini, hususan wanaochipukia,  ili kujitangaza. Uzinduzi huo ulifanyika ofisini kwake Sinza, jijini Dar es Salaam, maeneo ya Sinza-Afrika Sana karibu na ofisi za Mamlaka ya Kodi (TRA) Mwenge, ambapo […]

Read More..